Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Yaan ya jana yanafurahisha sana
Nakumbushwa KHALID AUCHO hajacheza hata dakika moja leo hii, navutwa shati kuwa BAKARI NONDO hakuwepo hata sub leo hii, naambiwa STEPHEN AZIZ KI ametokea benchi na ameweka mbili, nakumbushwa DUKE ABUYA ametokea bench ameweka kambani.
Uhuni ni nini? Ni kukumbushwa kuwa Jonas Mkude mara ya mwisho kacheza dakika 90 ilikuwa dhidi ya Mamelodi Sundowns halafu leo kazima kiroho mbaya, ndio kusema? Ndio kusema ipo siku Gamondi atampanga hata Rais wa timu acheze😀
Nakumbushwa KHALID AUCHO hajacheza hata dakika moja leo hii, navutwa shati kuwa BAKARI NONDO hakuwepo hata sub leo hii, naambiwa STEPHEN AZIZ KI ametokea benchi na ameweka mbili, nakumbushwa DUKE ABUYA ametokea bench ameweka kambani.
Uhuni ni nini? Ni kukumbushwa kuwa Jonas Mkude mara ya mwisho kacheza dakika 90 ilikuwa dhidi ya Mamelodi Sundowns halafu leo kazima kiroho mbaya, ndio kusema? Ndio kusema ipo siku Gamondi atampanga hata Rais wa timu acheze😀