Gamondi awaita nyota wa kikosi Cha kwanza Zanzibar

Gamondi awaita nyota wa kikosi Cha kwanza Zanzibar

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kocha Mkuu wa Young Africans Sports Club , Miguel Gamondi ameamua kuwaita nyota wake wa kikosi cha kwanza aliokuwa amewapa mapumziko mafupi akiwamo Khalid Aucho, Pacome Zouzoua na Yao Kouassi ili kuongeza nguvu katika Kikosi Kuelekea mchezo wa mtoano wa Mapinduzi cup.
 
Nasikia dalili za mtu atakula 5 Janury hii
 
Back
Top Bottom