Kwa msaada wa refa inawezekanaAnataka awe anakanda 5 [emoji113]
Ni kweli kabisa kama refa alivyosaidia kwenye makolofive day.Kwa msaada wa refa inawezekana
Mnara upi huo...kila mechi??Anataka Kila mechi awe anasimamisha mnara [emoji113]
Naona kuna baadhi ya watu wamenuna baada tu ya kusikia hii taarifa.
Waliwalala wewe na nani? Kama wewe ni kijana wa kiume, basi unatakiwa ujitafakari sana. Maana sisi baba zako enzi tukiwa watoto kama nyinyi, mifano ya kike kama hii ilikuwa haipo.Hivi wakat Ihefu anatulala
Hawa wachezaji hawakuwepo
Bado wa kwenu 5 kwa 0 na 6 kwa 0 unasoma bado? Huku kwetu hakuna signal...Ule wa 5...0