ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kuna kampeni ya chini chini imeanzishwa Gamondi aonekane mbaya, inatoka FC [emoji2772] na kuna watu wanaingizwa kingZile mechi nne za mwanzo kabla ya mechi ya Ihefu ya tarehe 4 mwezi wa 10 kocha alikuwa ni nani tofauti na huyu Gamondi? Huyu kocha si alitumia wachezaji wote kasoro Mshery pekee ndipo kaja kupoteza kwa Ihefu kwa kuwapanga wakina Sureboy? Sasa kama kikosi tu cha pili kinashindwa kumfunga timu ndogo ya Ihefu inayoburuza mkia je utasema mia, na wala sio wakina Musonda na Mzize wanaopata mipira ya counter hawajui wafanye nini zaidi ya kujigonga gonga tu.
Sijui nani anafadhili hii kampeni yenu ya kumkataa Gamond. Na ghafla tu imeibuka baada ya mechi za kimataifa dhidi ya Medeama ili kuivuruga Yanga.
Hakuna rotation inayofanyika katika mechi ngumu zinazohitaji matokeo.
Hao wakina Nkane, Kibwana, na Farid Mussa mtawaona taratibu kwenye mechi zisizo na presha. Kila kocha lazima awe na first eleven yake ambayo ndiyo anayoiamini kwenye mechi zake ngumu, unataka kocha ampange Farid Mussa dhidi ya Al Ahly una akili wewe?
Yanga ndio kwanza kacheza mechi tisa tu za ligi kuu kuna mechi 21 zimebakia utawaona hao wachezaji kwenye mechi zingine za ligi na mechi za Azam federation cup ila sio kuingizwa ghafla tu kwenye klabu bingwa acheni ujinga
Nabi kacheza mechi gani ya kimataifa bila uwepo wa Mayele? Mnalinganisha uwezo wa kocha anayetumia Musonda na Mzize vs kocha aliyemtumia Mayele anayegombea tuzo?
Kwani ni kipi kinachokosekana Yanga zaidi ya straika wa maana? Unataka Gamondi aingie akafunge mwenyewe? Mpira unaochezwa na Yanga kwasasa hata Yanga ya Nabi haikuwahi kuucheza soka hili lenye kasi. Kina muangusha hana straika mwenye uwezo kama Mayele, magoli yanafungwa zaidi na viungo ambao inawapasa wafanye kazi zaidi na akili nyingi.
Kama Yanga wangekuwa na straika wa maana leo hii wangekuwa na point 6. Yanga ya Gamond inapiga counter, ina miliki mpira ila wakina Mzize wanajigonga gonga tu, vigugumizi vingi, kujiposition hawajui halafu lawama apewe kocha kwa lipi?
Midomo tu.
Si muende mpeleke CV mpewe Timu mfundishe.
Kuna kitu kinapandikizwa kwa mashabiki wa Yanga, inatengenezwa mazingira ya kuonekana kocha ni tatizo ili mashabiki wa react ili kocha atimuliwe.
Huyu kocha japo ana miezi michache ila aina yake mpira ni mpira wa kisasa, kama mapungufu kadhaa yatafanyiwa kazi ikiwepo mshambuliaji wa maana, na mawinga wa maana na beki kule wa kazi kazi kama Yao Kwasi hakika itakuwa habari nyingine kwenye soka la Africa.
[emoji736][emoji736] you are absolutely right
Leo mmeamua kuiita kampeni za wasioipenda Yanga na kujitoa kwenye sehemu ya wanao laumu mwenendo wa kocha.Nimegundua wamekuja kivingine ili Gamondi atoke baada ya 🖐🏿.
Gamondi Ana mkataba wa Miaka 2 pale yanga na ukiisha ataongezewa , raisi wa yanga sio kipindi kile cha yanga asili na yanga kampuni , sasahivi klabu ipo ki professional zaidi.
Nyambafffff
Kama kuna mtu ana laumu eti Yanga inashindwa kufanya vizuri mechi za klabu bingwa sababu ya kocha hafanyi rotation basi huyo hajui mpira na hajui rotation hufanywa wakati upi au kipindi kipi. Ningeona wanaakili na wanajua mpira endapo hizi kelele za rotation ningezisikia baada ya kutolewa kikosi cha Yanga vs Mtibwa tarehe 16. Hiyo ndio mechi inayohitaji wachezaji kuwafanyia rotation.Leo mmeamua kuiita kampeni za wasioipenda Yanga na kujitoa kwenye sehemu ya wanao laumu mwenendo wa kocha.
Lakini nani asiyejua emotions za mashabiki wa Bongo kwenye timu zao za ndani?
Siku zote timu inapopata matokeo ndio kipindi ambacho unaweza kushuhudia mshikamano wa mashabiki katika kutoa maoni ya timu.
Lakini timu ikipoteza. Hayo yote mliyosema yanasemwa na wasioitakia mema Yanga mtayasema nyinyi.
Kati yenu hapo wapo waliotoa lawama kwa Kocha kwenye ya juzi na sababu zilizotolewa zilikuwa ni hizi hizi ambazo wengine wakizitoa wanaonekana mamluki.
We fala ndio hujui mpira, sie tunaongelea comparison ya squad rotation kati ya Nabi na Gamond then wewe unaleta uharo kunuka hapa.Kama kuna mtu ana laumu eti Yanga inashindwa kufanya vizuri mechi za klabu bingwa sababu ya kocha hafanyi rotation basi huyo hajui mpira na hajui rotation hufanywa wakati upi au kipindi kipi. Ningeona wanaakili na wanajua mpira endapo hizi kelele za rotation ningezisikia baada ya kutolewa kikosi cha Yanga vs Mtibwa tarehe 16. Hiyo ndio mechi inayohitaji wachezaji kuwafanyia rotation.
Mtu anakwambia kocha hana mbinu bora ya Nabi, Nabi mbinu zake anazitengeneza kwa kumlenga mshambuliaji mahiri anayewania tuzo kwasasa. Mayele hakukosa mechi hata moja ya kombe la shirikisho na ndiye aliyechochea mafanikio ya Yanga. Ila leo mtu anatoa mlinganyo na mtu anayetumia Musonda na Mzize kama washambuliaji tegemeo. Huyo Nambi kwa mbinu zake mbona kashindwa kuibeba Far Rabat kucheza makundi?
Watacheza tu una haraka gani?We fala ndio hujui mpira, sie tunaongelea comparison ya squad rotation kati ya Nabi na Gamond then wewe unaleta uharo kunuka hapa.
Msimu uliopita wachezaji karibia wote walikuwa wanacheza tena kwa viwango vya juu Sureboy aliupiga mwingi kwa waarab mpaka wakashangaa, moloko, farid mussa na nkane mpaka ngushi wote walicheza kwa zamu na walikuwa wanakiwasha, ilifika wakati yeyote akianza ni sawa na aliye benchi kocha kazi yake ikawa kuangalia match hii nani anaendana nayo anamuingiza na ndio maana timu ikawa kipindi cha pili inabadilika. Lakini huyu Gamond hana hilo yeye mbinu yake ni kuwatumia wachezaji haohao wakifeli siku hiyo ujue mmekwisha, sisi wengine sio mashabiki maandazi kama nyie kila kitu mnaunga mkono.
Mimi ni mwananchi Kwa hili naungana na weweJuzi tu hapa Nkane , Mdathir , Sureboy , Farid Mussa , Moloko , Kibwana , Walikuwa ni wachezaji hatari sana hata kama walikuwa wanatokea Sub , ukianza kuhesabu magoal ya ushindi au perfomnce zao bora hapa hutoacha kukumbuka
Nkane aliipatia Yanga goli la kuwapa Taji la ASFC 2021/22 , baada ya ku-level Score board 3-3 kisha mikwaju ya penalty ikaamua , Bado Nkane aliendelea kupata nafasi kwenye Kikosi cha Nabi na alikuwa anafanya vyema sana
Mdathir , Aliwapatia Yanga goal la Kuongoza dhidi ya Tp Mazembe CAFCC , na lile goli lilichukua goli bora la group stage CAFCC , bado alikuwa na kiwango bora sana majuzi juzi
Sureboy , Master , Atakumbwa kwa kiwango kizuri alichokionesha kwenye mchezo wa kufuzu Group stage dhidi ya Club African , ugenini lakini mwamba ile match aliwaka sana na bado alikuwa ni mchezaji mzuri sana
Farid Musa [emoji119] Baller anayecheza namba nyingi pale Yanga , Beki wa kushoto , Winger wa kushoto , Middle aliwahi kuwapatia points 3 mhimu Yanga dhidi ya Tp Mazembe ugenini
Moloko , Moja ya winger nzuri kabisa na hatari sana , aliwahi kuwafungia goal la pili Yanga kwenye mchezo dhidi ya Real Bamako kwa mkapa
Kibwana Shomary , Si kulia si kushoto kote kote mdogo wangu anakaba na anashambulia ni kweli kazini kwake kuna kazi ila naye ni mzuri matches dhidi ya Dodoma Jiji , matches dhidi ya Al Merrikh ushashinda tayari na umefuzu naye anastahili kucheza
Ukiifuatilia Yanga , ilikuwa ni team ambayo kila mchezaji alikuwa ni hatari kulingana na Sub aliyokuwa anafanyiwa , lakini Yanga ya sasa et hawapati nafasi kinachoendelea ni niniii ? team ya taifa itarudi kule kule tulipo toka hakuna wachezaji wapya watakao itwa maana kibwana sasa hawezi kuitwa maana sub kila match
Coach wa Yanga ajitathmini na pengine anaweza asifike X-mas au hata mwaka mpya , mwenendo wa Kikosi cha Yanga sasa unafanya Pacome aje achoke sana ,
Japo ni coach wenu siwapangii majukumu ila huyu coach atatuulia vipaji vya hawa madogo ni vyema akasepa mapema , utaniambia nini nikuelewe kwamba Farid Musa hana kiwango cha kumpokea Max dakika za jioni ?
Tatizo hili COACH CHOYOOO SANA , Yanga ya msimu huu inaweza kuwa ndiyo Yanga nzuri kuishuhudia
@saniti
Jibu hoja yake inamashiko sana mbona wakati wa Nabi walipata nafasi kwanini sasa?Sijui nani anafadhili hii kampeni yenu ya kumkataa Gamond. Na ghafla tu imeibuka baada ya mechi za kimataifa dhidi ya Medeama ili kuivuruga Yanga.
Hakuna rotation inayofanyika katika mechi ngumu zinazohitaji matokeo.
Hao wakina Nkane, Kibwana, na Farid Mussa mtawaona taratibu kwenye mechi zisizo na presha. Kila kocha lazima awe na first eleven yake ambayo ndiyo anayoiamini kwenye mechi zake ngumu, unataka kocha ampange Farid Mussa dhidi ya Al Ahly una akili wewe?
Yanga ndio kwanza kacheza mechi tisa tu za ligi kuu kuna mechi 21 zimebakia utawaona hao wachezaji kwenye mechi zingine za ligi na mechi za Azam federation cup ila sio kuingizwa ghafla tu kwenye klabu bingwa acheni ujinga
Hana maana hiyo wewe kiaziMleta mada una hoja, Gamond siyo kocha atimuliwe.
InamanikuswekeUna cheti gani cha ukufunzi wa kandanda!?
Wewe ndo akili huna, Nabi kafanya rotation mechi za nusu fainali hadi fainali na team imecheza vizuri, sembuse mechi za group stage. Me nikwambie kitu, hawa kina pacome wataanza kupata injury muda sio mrefu, fatigue ipo juu sana kwao, washageuka kauka nikuvae.Unataka kocha aweke ghafla tu new faces kwenye mechi ngumu za klabu bingwa Unaujua mpira kweli wewe?
pumbavu wew huyo nabi kwenye hii club bingwa kafika wap natimu yake au unadhani huku kuna mallumoHuyu kocha uwezo wake haufiki hata ¼ ya Nabi
Walikuwa wanacheza dhidi ya mechi ngumu za kimataifa dhidi ya Club Africain, Tp Mazembe na wanafungaSijui nani anafadhili hii kampeni yenu ya kumkataa Gamond. Na ghafla tu imeibuka baada ya mechi za kimataifa dhidi ya Medeama ili kuivuruga Yanga.
Hakuna rotation inayofanyika katika mechi ngumu zinazohitaji matokeo.
Hao wakina Nkane, Kibwana, na Farid Mussa mtawaona taratibu kwenye mechi zisizo na presha. Kila kocha lazima awe na first eleven yake ambayo ndiyo anayoiamini kwenye mechi zake ngumu, unataka kocha ampange Farid Mussa dhidi ya Al Ahly una akili wewe?
Yanga ndio kwanza kacheza mechi tisa tu za ligi kuu kuna mechi 21 zimebakia utawaona hao wachezaji kwenye mechi zingine za ligi na mechi za Azam federation cup ila sio kuingizwa ghafla tu kwenye klabu bingwa acheni ujinga
Pumbavu kinyeo chako cheusi hichopumbavu wew huyo nabi kwenye hii club bingwa kafika wap natimu yake au unadhani huku kuna mallumo
Nabi hakuwa na Pacome au NzengeliNabi kacheza mechi gani ya kimataifa bila uwepo wa Mayele? Mnalinganisha uwezo wa kocha anayetumia Musonda na Mzize vs kocha aliyemtumia Mayele anayegombea tuzo?
Kwani ni kipi kinachokosekana Yanga zaidi ya straika wa maana? Unataka Gamondi aingie akafunge mwenyewe? Mpira unaochezwa na Yanga kwasasa hata Yanga ya Nabi haikuwahi kuucheza soka hili lenye kasi. Kina muangusha hana straika mwenye uwezo kama Mayele, magoli yanafungwa zaidi na viungo ambao inawapasa wafanye kazi zaidi na akili nyingi.
Kama Yanga wangekuwa na straika wa maana leo hii wangekuwa na point 6. Yanga ya Gamond inapiga counter, ina miliki mpira ila wakina Mzize wanajigonga gonga tu, vigugumizi vingi, kujiposition hawajui halafu lawama apewe kocha kwa lipi?
Ambaye hamjui mpira ni nyie mnaongea upumbavu na ujinga. Nabi alikaa na Yanga kwa misimu mingapi? Kitendo cha kocha kukaa muda mrefu kinamfanya ajue kila mchezaji ubora wake na madhaifu yake. Wewe unataka kocha aingie hata mwaka hajamaliza ajaribishe kila mchezaji wakati jambo lilishamuadhibu dhidi ya Ihefu.We fala ndio hujui mpira, sie tunaongelea comparison ya squad rotation kati ya Nabi na Gamond then wewe unaleta uharo kunuka hapa.
Msimu uliopita wachezaji karibia wote walikuwa wanacheza tena kwa viwango vya juu Sureboy aliupiga mwingi kwa waarab mpaka wakashangaa, moloko, farid mussa na nkane mpaka ngushi wote walicheza kwa zamu na walikuwa wanakiwasha, ilifika wakati yeyote akianza ni sawa na aliye benchi kocha kazi yake ikawa kuangalia match hii nani anaendana nayo anamuingiza na ndio maana timu ikawa kipindi cha pili inabadilika. Lakini huyu Gamond hana hilo yeye mbinu yake ni kuwatumia wachezaji haohao wakifeli siku hiyo ujue mmekwisha, sisi wengine sio mashabiki maandazi kama nyie kila kitu mnaunga mkono.
Hata Nabi alipigiwa kampeni kama hii mwanzoni, ili atolewe. Kwa hiyo hakuna jipya hapa.Nimegundua wamekuja kivingine ili Gamondi atoke baada ya [emoji1616].
Gamondi Ana mkataba wa Miaka 2 pale yanga na ukiisha ataongezewa , raisi wa yanga sio kipindi kile cha yanga asili na yanga kampuni , sasahivi klabu ipo ki professional zaidi.
Nyambafffff
Inawezekana hizi chokochoko zinaanzishwa na wachezaji wanaokosa nambaKuna kitu kinapandikizwa kwa mashabiki wa Yanga, inatengenezwa mazingira ya kuonekana kocha ni tatizo ili mashabiki wa react ili kocha atimuliwe.
Huyu kocha japo ana miezi michache ila aina yake mpira ni mpira wa kisasa, kama mapungufu kadhaa yatafanyiwa kazi ikiwepo mshambuliaji wa maana, na mawinga wa maana na beki kule wa kazi kazi kama Yao Kwasi hakika itakuwa habari nyingine kwenye soka la Africa.