Gamondi Gamondi Gamondi nakuita mara tatu

Gamondi Gamondi Gamondi nakuita mara tatu

Tuache ujuaji wakijinga dhidi ya professinalism za watu!!, Hebu angalia Kibabage alivyocheza kule Ghana? Angekuwa ni Lomalisa yanga ingepata ushindi. Msimu mnaosema Nabii alifanya rotation yanga kwa 90% wachezaji karibia wote viwango vilikuwa sawa ila sio saizi asee!, Yaani umuweke benchi yao mechi mhimu kisa rotation kwa kibwana?, Umuweke benchi Pacome kisa rotation ya Nkane?, Umuweke benchi Max kisa rotation ya moloko?. Utakuwa kocha wa hovyoo Sana, Dunia kote hakuna kocha anafanya rotation kwa timu inayofanya vizuri!!, Afanye rotation afungwe? Mmseme?.
 
Unataka kocha aweke ghafla tu new faces kwenye mechi ngumu za klabu bingwa Unaujua mpira kweli wewe?
Watu wanafikiri club bingwa na shirikisho michuano inafanana na mbinu ni zilezile
 
Wewe ndo akili huna, Nabi kafanya rotation mechi za nusu fainali hadi fainali na team imecheza vizuri, sembuse mechi za group stage. Me nikwambie kitu, hawa kina pacome wataanza kupata injury muda sio mrefu, fatigue ipo juu sana kwao, washageuka kauka nikuvae.
Ndio maana nasema hamjui nini maana ya rotation na mazingira yapi yanapelekea kocha kufanya rotation. Unazungumzia mechi ya nusu fainali, Nabi alikuwa na first eleven yake na wala sio kwamba kila mechi ya kimataifa wanaingia wachezaji sura mpya.
Wachezaji panga pangua wa Nabi walikuwa.
Diarra, Nondo, Bacca, Kibwana,Bangala, Aucho, Mayele, Aziz Ki, Job, Mudathir, Moloko, Kisinda na Musonda, Mzize.
Huyo Sureboy alicheza mechi ya Club Africain akatakata lakini bado haikuwa tiketi ya Nabi kumpanga kwenye mechi za kimataifa mpaka itokee Aucho kaumia au ana adhabu.

Kwenye michuano ya kimataifa ambayo unasemea ya nusu fainali Nabi aliwaanzisha benchi wachezaji wawili tu ambae ni Aziz Ki na Moloko na nafasi zao zikachukuliwa na Musonda na Mudathir, hapo sura ni zile zile za kauka nikuvae wa Nabi, na mechi ya fainali kulikuwa na pengo la Aucho ambaye alikuwa na adhabu ya kadi za njano.
 
Walikuwa wanacheza dhidi ya mechi ngumu za kimataifa dhidi ya Club Africain, Tp Mazembe na wanafunga
Kwani Mayele bado yupo Yanga? Au Mzize, Musonda na Konkoni wanafikia uwezo aliokuwa nao Mayele?
 
Ni sahhi kbsa kocha nabi aliwapa nafsi wachezaji wazaa Hilo halina ubishi
 
Jibu hoja yake inamashiko sana mbona wakati wa Nabi walipata nafasi kwanini sasa?
Nabi alikuwa na kauka nikuvae yake ya michuano ya shirikisho hiyo nafasi waliopata wakina Nkae ni kwenye michuano ya ndani ambapo Yanga bado ina michezo 21 ya ligi kuu na michezo mingine ya Azam federation.
Kauka nikuvae ya Nabi ilikuwa ni Diarra, Aucho, Job, Kibwana, Bacca, Mayele, Aziz ki, Kisinda, Moloko, Musonda, Mudathir, Mzize, Nondo, na Bangala.
 
Yaani huyu kocha miyeyusho, hii kauka nikuvae itatuletea majeruhi. Hatusemi kwamba afanye heavy rotation ya wachezaji 6 na kuendelea, NO. Tunasema kwamba angalau new faces hata 3 kila mechi zionekane na sub afanye kwa wakati. Wachezaji hata kama ni wazuri, wanachoka wale. Sio machine.
Alifanya rotation kule ihefu mkapiga kelele...sasa mnataka tena rotation...hebu mwacheni Kocha afanye kazi yake...mnataka kumpangia kikosi?!
 
Nimegundua wamekuja kivingine ili Gamondi atoke baada ya [emoji1616].

Gamondi Ana mkataba wa Miaka 2 pale yanga na ukiisha ataongezewa , raisi wa yanga sio kipindi kile cha yanga asili na yanga kampuni , sasahivi klabu ipo ki professional zaidi.

Nyambafffff
Hakika...hawaoni namna ya kuepuka mkono tena![emoji2772]
 
Mimi ni mwananchi Kwa hili naungana na wewe
Wewe ni mwanchi usiyejua mpira, usiyefatilia mpira na usiyetumia akili kufikiria. Angalia squad ya Nabi katika mashindano ya shirikisho ilikuwa na sura zile zile mwanzo mwisho. Hao akina Nkane kawatumia kwenye mechi za mchangani za Azam federation na ligi kuu mechi baadhi.
 
Kwani hawa ni mastraika?
Hapana ila wanafanya ushambuliaji wa yanga kuwa hatari zaidi

Kuna timu kubwa tu unakuta hazina natural strikers wazuri au hawana kabisa lakini inawatumia viungo na mawinga vizuri kuziba hilo pengo na zinapata matokeo
 
Gamond ana jiua mwenyewe sisi mashabiki tuna mtahadharisha tu, Wachezji wetu wasipo cheza mfululizo viwango vyao vinashuka,.
Mwenzake Nabi aliisha muonyesha namna ya kutumika wachezji, yeye amebahatika kwa kuletewa Nzengeli, Max na Yao Sasa Ilitakiwa awe na utajiri katika kikosi Cha kwanza.
Inaleta mashaka ata kwa akina scudu. Hafiz na wenzake kama kweli hawana viwango.
Inawezakua Wanakosa game time inayo pelekea kupoteza uwezo na kujiamini.
 
Hapana ila wanafanya ushambuliaji wa yanga kuwa hatari zaidi

Kuna timu kubwa tu unakuta hazina natural strikers wazuri au hawana kabisa lakini inawatumia viungo na mawinga vizuri kuziba hilo pengo na zinapata matokeo
Yanga ina mawinga wangapi wenye ubora kwasasa?
 
Gamond ana jiua mwenyewe sisi mashabiki tuna mtahadharisha tu, Wachezji wetu wasipo cheza mfululizo viwango vyao vinashuka,.
Mwenzake Nabi aliisha muonyesha namna ya kutumika wachezji, yeye amebahatika kwa kuletewa Nzengeli, Max na Yao Sasa Ilitakiwa awe na utajiri katika kikosi Cha kwanza.
Inaleta mashaka ata kwa akina scudu. Hafiz na wenzake kama kweli hawana viwango.
Inawezakua Wanakosa game time inayo pelekea kupoteza uwezo na kujiamini.
Ila sisi wabongo kwa chokochoko na vimaneno tuko vizuri. Hivi yule kiungo aliyecheza hadi Newcastle, Nabi alikuwa anampa game time? Hata Nabi alikuwa na wachezaji wake tegemeo kwenye michuano ya CAF confederation cup hilo tulikumbuke vichwani mwetu. Diarra, Nondo, Bacca, Job, Kibwana, Mayele, Mudathir, Aucho, Kisinda, Moloko, Musonda, Aziz Ki, Bangala, Mzize hawa ndio waliounda squad ya Nabi kwenye CAFCC.
Hao wachezaji wengine kama akina Nkane, Nabi aliwapanga kwenye mashindano ya ndani kama Azam federation. Yanga imecheza michezo 9 tu ya ndani bado mechi 21 za ligi kuu na bado mashindano ya Azam federation na mapinduzi lakini unakuja kutoa kasoro kwa Gamondi.....
Baada ya mechi ya Ihefu, Yanga imecheza mechi ngumu tupu za ndani ni ngumu kocha kubet kwa kufanya rotation wakati ni mechi ngumu ( vs Azam,Singida, vs Simba, Coastal)
 
Back
Top Bottom