Watu wanafikiri club bingwa na shirikisho michuano inafanana na mbinu ni zilezileUnataka kocha aweke ghafla tu new faces kwenye mechi ngumu za klabu bingwa Unaujua mpira kweli wewe?
Ndio maana nasema hamjui nini maana ya rotation na mazingira yapi yanapelekea kocha kufanya rotation. Unazungumzia mechi ya nusu fainali, Nabi alikuwa na first eleven yake na wala sio kwamba kila mechi ya kimataifa wanaingia wachezaji sura mpya.Wewe ndo akili huna, Nabi kafanya rotation mechi za nusu fainali hadi fainali na team imecheza vizuri, sembuse mechi za group stage. Me nikwambie kitu, hawa kina pacome wataanza kupata injury muda sio mrefu, fatigue ipo juu sana kwao, washageuka kauka nikuvae.
Kwani Mayele bado yupo Yanga? Au Mzize, Musonda na Konkoni wanafikia uwezo aliokuwa nao Mayele?Walikuwa wanacheza dhidi ya mechi ngumu za kimataifa dhidi ya Club Africain, Tp Mazembe na wanafunga
Kwani hawa ni mastraika?Nabi hakuwa na Pacome au Nzengeli
[emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772]Mtajijua wenyewe na gamondi wenu.
Nabi alikuwa na kauka nikuvae yake ya michuano ya shirikisho hiyo nafasi waliopata wakina Nkae ni kwenye michuano ya ndani ambapo Yanga bado ina michezo 21 ya ligi kuu na michezo mingine ya Azam federation.Jibu hoja yake inamashiko sana mbona wakati wa Nabi walipata nafasi kwanini sasa?
Alifanya rotation kule ihefu mkapiga kelele...sasa mnataka tena rotation...hebu mwacheni Kocha afanye kazi yake...mnataka kumpangia kikosi?!Yaani huyu kocha miyeyusho, hii kauka nikuvae itatuletea majeruhi. Hatusemi kwamba afanye heavy rotation ya wachezaji 6 na kuendelea, NO. Tunasema kwamba angalau new faces hata 3 kila mechi zionekane na sub afanye kwa wakati. Wachezaji hata kama ni wazuri, wanachoka wale. Sio machine.
Hakika...hawaoni namna ya kuepuka mkono tena![emoji2772]Nimegundua wamekuja kivingine ili Gamondi atoke baada ya [emoji1616].
Gamondi Ana mkataba wa Miaka 2 pale yanga na ukiisha ataongezewa , raisi wa yanga sio kipindi kile cha yanga asili na yanga kampuni , sasahivi klabu ipo ki professional zaidi.
Nyambafffff
Kocha Nabi aliwapa nafasi wazawa Kwenye michuano ipi?Ni sahhi kbsa kocha nabi aliwapa nafsi wachezaji wazaa Hilo halina ubishi
Wewe ni mwanchi usiyejua mpira, usiyefatilia mpira na usiyetumia akili kufikiria. Angalia squad ya Nabi katika mashindano ya shirikisho ilikuwa na sura zile zile mwanzo mwisho. Hao akina Nkane kawatumia kwenye mechi za mchangani za Azam federation na ligi kuu mechi baadhi.Mimi ni mwananchi Kwa hili naungana na wewe
Hapana ila wanafanya ushambuliaji wa yanga kuwa hatari zaidiKwani hawa ni mastraika?
Yanga ina mawinga wangapi wenye ubora kwasasa?Hapana ila wanafanya ushambuliaji wa yanga kuwa hatari zaidi
Kuna timu kubwa tu unakuta hazina natural strikers wazuri au hawana kabisa lakini inawatumia viungo na mawinga vizuri kuziba hilo pengo na zinapata matokeo
Ila sisi wabongo kwa chokochoko na vimaneno tuko vizuri. Hivi yule kiungo aliyecheza hadi Newcastle, Nabi alikuwa anampa game time? Hata Nabi alikuwa na wachezaji wake tegemeo kwenye michuano ya CAF confederation cup hilo tulikumbuke vichwani mwetu. Diarra, Nondo, Bacca, Job, Kibwana, Mayele, Mudathir, Aucho, Kisinda, Moloko, Musonda, Aziz Ki, Bangala, Mzize hawa ndio waliounda squad ya Nabi kwenye CAFCC.Gamond ana jiua mwenyewe sisi mashabiki tuna mtahadharisha tu, Wachezji wetu wasipo cheza mfululizo viwango vyao vinashuka,.
Mwenzake Nabi aliisha muonyesha namna ya kutumika wachezji, yeye amebahatika kwa kuletewa Nzengeli, Max na Yao Sasa Ilitakiwa awe na utajiri katika kikosi Cha kwanza.
Inaleta mashaka ata kwa akina scudu. Hafiz na wenzake kama kweli hawana viwango.
Inawezakua Wanakosa game time inayo pelekea kupoteza uwezo na kujiamini.
Sio mawinga tu, hata viungo..kun Aziz Ki, Pacome, Maxi,Yanga ina mawinga wangapi wenye ubora kwasasa?