Gamondi Gamondi Gamondi nakuita mara tatu

Makoloo wapuuzi sana,wanajivika ngozi ya Wananchi kuhalibu Yanga,mmefaili kwa Rais Hersie against Toto,mnajalibu kutingisha Gamooo. Yanga ishavuka level hizo, tukikutana tunawapiga Week daadekiii.
 
Sio mawinga tu, hata viungo..kun Aziz Ki, Pacome, Maxi,
Kwani magoli yaliyofungwa Yanga, yamefungwa na nani mpaka sasa kama sio viungo? Kwenye NBC magoli yamefungwa na Max, Aziz Ki na Pacome. Na huku kwenye klabu bingwa magoli yamefungwa na Pacome ambaye ni kiungo. Shida ya style hii ya uchezaji ni lazima uwe na mawinga wazuri ndio ingekuwa rahisi hata kwenye michezo ya kimataifa. Huku ni mwendo wa mbinu na ufundi, embu angalia zile nafasi alizopata Kibabage kama ungekuwa na winga wa maana au beki wa maana zile counter zingezaa magoli. Kutokana na kutokuwa na mawinga wazuri inalazimu wachezaji wafanye kazi zaidi ya moja.
 
Nkane?? Yupi?? Aliwahi kuwa hatari mechi ipi?? Weka na hizo mechi ambazo "useless nkane" amewahi kuwa bora tukukaange vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…