mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Vyura wale paleee wanatoa macho.🤔Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
Unateseka ukiwa wapi Bwashee?Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
Utopolo utamjua tu wala hajifichi!!Unateseka ukiwa wapi Bwashee?
Kasema nani,wewe au yeye?Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
sasa bila wachezaji wazuri unashindaje, hata ulaya wanatumia mabilioni ya pesa kusajili wachezaji wazuri.Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
Uzi wako ulipaswa kuelezea mapungufu ya Gamondi ila umeandika kama vile uzi wa mipasho.Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
Hakuna aliyesema kuwa Gamondi ni kocha mbovu bali overated!! Overated maana yake anapewa sifa kuzidi anazostahili!! Hata kama ni mzuri lakini si kihivyo!! Soon hii itakuwa wazi hasa kwenye ligi ya ndani!!Mpira haupo hivyo, ili mafanikio yapatikane ni lazima kuwe na wachzaji wazuri na benchi la ufundi zuri. Embu nipe mifano ya timu iliyofanikiwa ikiwa na kocha mbovu ni timu zipi hizo?
Timu iliyokamikika sio mkusanyiko wa wachezaji bali ni mbinu, ufundi na aina ya uchezaji.
Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
bado hamjasema mpk muombe maji kama mabinti wa buza....diaboya!!!Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
Wivu wa kijinga sana huu! Mpe basi timu yako ya simba huyo Julio wako, halafu tuone atawafikisha wapi!Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!