Gamondi hamna kitu ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!

Gamondi hamna kitu ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!

Ile mechi watu walikuwa wanajiandaa tu kujua Yanga itatolewa kwa magoli mengi kwa idadi ipi na hata mashabiki wenyewe wa Yanga walikuwa wameshakubali matokeo kuwa Yanga itachezea mengi. Baada ya kutoka line up ndio kabisa watu wakapigia mstisri kuwa zitaokotwa nyingi nyavuni. Gamondi katoa surprise kwa mikakati ya kimbinu na ufundi. Ile mechi Mamelodi alikuwa anatolewa kama Mzize angekuwa makini na pia VAR ingekuwa imetumika inavyopaswa na mwamuzi wa kati.
Kumchukulia poa gamond ni kuukosea heshima mpira, gamond ni genious kimbinu.
 
Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa Yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
kua wewe kocha ........msiiiiiiiiiium ustuchanganye apaaa
 
Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa Yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
Kumbe hata wewe unaweza pewa majukumu yake
 
Na sasa hivi wanataka kumfukuza zungu pori gamondi
 
Back
Top Bottom