Huku game dhidi ya Mashujaa ikiwa ngumu, amewatoa Aucho na Pacome waliokuwa wanaichezesha vyema timu. Baada ya hapo game ikawa ngumu sana na timu pinzani wakaanza kuja bila woga.
Nadhani hajajua kuiheshimu ligi hii. Ikumbukwe kuwa alibadili sehemu kubwa ya kikosi dhidi ya Ihefu, kilichotokea kinafahamika.
Ameshindwa kabisa kuweka uwiano sawa kati ya wachezaji wa kikosi cha kwanza na wale wa akiba. Siku zake zinahesabika
Nadhani hajajua kuiheshimu ligi hii. Ikumbukwe kuwa alibadili sehemu kubwa ya kikosi dhidi ya Ihefu, kilichotokea kinafahamika.
Ameshindwa kabisa kuweka uwiano sawa kati ya wachezaji wa kikosi cha kwanza na wale wa akiba. Siku zake zinahesabika