Gamondi hana maisha Yanga

Gamondi hana maisha Yanga

Wewe nawe wachezaji wametumika wapi wakati walipewa bata zaidi ya mwezi. Huwezi kufikiria ya kesho kabla ya kuwa na uhakika wa asilimia 100 na ya leo.

Kocha alichofanya leo ni kosa kubwa sana katika mechi ngumu. Unaanza kwanza kuhakikisha unapata alama tatu za leo kisha ndio ujiandae kwa yajayo
Kweli kabisa
 
Kazi ya wachezaji ni nini?
Umecheza mpira wewe au unadhani wachezaji wanatumia diesel nini, misuli ikitumika sana ni risk kwa wachezaji either kupata tear, cramps, au misuli kukaza kocha anakwambia wachezaji walipata injury na bado ana gemu ngumu mbeleni
IMG-20240209-WA0000.jpg
 
Kwa mechi ya Kagera na mechi ya leo amenistajabisha maamuzi yake. Kwa mechi ya Dodoma jiji ni wachezaji ndio walikuwa changamoto katika utulivu. Mapumziko waliyotoa kwa wachezaji wa Yanga yataleta athari kubwa sana kwa Yanga
Yameshaleta athari mkuu huoni wachezaji wanavyopata shida uwanjani,unaona kabisa comfortability ndogo
Ni kama wengi wamekuja kutokea likizo wakiwa hawana mazoezi yoyote na kuanza kucheza kwa Kutumia uzoefu ila hapa uongozi unastahili lawama huwezi ongoza team kisela Kila siku mchezaji yuko likizo kama haipendi team aondoke
Kila Pro kaisha rejea kwenye team yake baada ya Afcon si wetu bado wako likizo (Aziz na Diara) as if wamechukua kombe la afcon
 
Upo sahihi kocha alicheza kamari kubwa Leo.

Pengo la Diarra limeonekana Leo .Yule dogo msheri hamna kitu huenda Hata metacha asingefungwa lile goli .

Halafu Huyu Joseph guede amesajiliwa kwa pendekezo la kocha au ali kamwe na privaldinho?

Haiwezekani mchezaji yupo uwanja haonyeshi juhudi yoyote halafu akitolewa anacheka.

Waliomleta walitumia vigezo gani kumleta?

Hili ni kosa kubwa sana la kiufundi hasa kwa jinsi kina kamwe na mwenzake walivyompigia debe vya kutosha .
Kamwe ni filimbi ya Hersi kosa ni lake na Guede wake nadhani hii ndio sajili ya hovyo kabisa kuwahi kufanywa na Yanga Bora wangemchukua Akandwa nao yule dogo wa Mlandege
 
Guede wamemjaza maneno ya ukubwa. Nina wasiwasi Ali Kamwe na Priva wamemjaza sifa na kuonekana kama yeye ndiye kabebeshwa mzigo wa muarobaini wa tatizo la ubutu wa forward Yanga. Kwahiyo anacheza huku akili yake ikikosa utulivu
Hamna ni hajui mpira
 
Huku game dhidi ya Mashujaa ikiwa ngumu, amewatoa Aucho na Pacome waliokuwa wanaichezesha vyema timu. Baada ya hapo game ikawa ngumu sana na timu pinzani wakaanza kuja bila woga.

Nadhani hajajua kuiheshimu ligi hii. Ikumbukwe kuwa alibadili sehemu kubwa ya kikosi dhidi ya Ihefu, kilichotokea kinafahamika.

Ameshindwa kabisa kuweka uwiano sawa kati ya wachezaji wa kikosi cha kwanza na wale wa akiba. Siku zake zinahesabika
ba50a5fa81538c96e2fb3d1627b38e8f.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi kocha alicheza kamari kubwa Leo.

Pengo la Diarra limeonekana Leo .Yule dogo msheri hamna kitu huenda Hata metacha asingefungwa lile goli .

Halafu Huyu Joseph guede amesajiliwa kwa pendekezo la kocha au ali kamwe na privaldinho?

Haiwezekani mchezaji yupo uwanja haonyeshi juhudi yoyote halafu akitolewa anacheka.

Waliomleta walitumia vigezo gani kumleta?

Hili ni kosa kubwa sana la kiufundi hasa kwa jinsi kina kamwe na mwenzake walivyompigia debe vya kutosha .
Ww ule mshuti ungedaka? Ni kama ule wa Kibu dee huyo Diarra angetenguliwa taya...msipende kulaumu laumu..huyo kipa anajitahidi..
 
Huku game dhidi ya Mashujaa ikiwa ngumu, amewatoa Aucho na Pacome waliokuwa wanaichezesha vyema timu. Baada ya hapo game ikawa ngumu sana na timu pinzani wakaanza kuja bila woga.

Nadhani hajajua kuiheshimu ligi hii. Ikumbukwe kuwa alibadili sehemu kubwa ya kikosi dhidi ya Ihefu, kilichotokea kinafahamika.

Ameshindwa kabisa kuweka uwiano sawa kati ya wachezaji wa kikosi cha kwanza na wale wa akiba. Siku zake zinahesabika
nimemsikiliza kwa makini,hakika nimemwelewa
 
Mimi nafikiri yanga ingeweka nguvu zaidi Kwa mzize aaminiwe apewe nafasi apate uzoefu zaidi kuliko kuendelea kuleta watu kama Hawa kina guede, useless. Kocha aache kucheza na straika wawili haimsaidii kabisa. Mzize awe lone straika namba moja kwa mechi zote mjazie viungo na mawinga dogo anajitahidi sana
 
Huku game dhidi ya Mashujaa ikiwa ngumu, amewatoa Aucho na Pacome waliokuwa wanaichezesha vyema timu. Baada ya hapo game ikawa ngumu sana na timu pinzani wakaanza kuja bila woga.

Nadhani hajajua kuiheshimu ligi hii. Ikumbukwe kuwa alibadili sehemu kubwa ya kikosi dhidi ya Ihefu, kilichotokea kinafahamika.

Ameshindwa kabisa kuweka uwiano sawa kati ya wachezaji wa kikosi cha kwanza na wale wa akiba. Siku zake zinahesabika
nimebadili msimamo,hakika gamondi ni master,maamuzi yake yote ni muhimu sana na yenye kuona mbali
 
Ila kusema ule ukweli; kocha anatakiwa abadilishe mfumo wa uchezaji wa timu.

Nahisi huu mfumo wake wa sasa umezoeleka, na pia ni rahisi kwa timu pinzani kuudhibiti kwa njia nyepesi tu ya kupaki basi.
Kagera sugar walifanikiwa, na hivyo kupata sare! Na Tabora United + Mashujaa, na wenyewe wametumia njia ile ile! Mwisho wa siku Yanga wameshinda mechi zote mbili kwa mbinde kweli kweli.

Tukija kwenye mechi ya leo, ni kweli kocha alichemka kumtoa Aucho na Pacome. Wachezaji waliostahili kutolewa mapema walikuwa ni Mzize na yule Guede wake ambaye kwa dakika zaidi ya 80 alizocheza; kwa kweli hakuna alichokifanya ndani ya uwanja.
Gamondi alizingua sana, Sub ya Pakome, Aucho na Gift Fredy hata sioni ni kwanini zilifanyika.
Ilikua wazi kwamba Pakome ndiye alizima mashambulizi ya mashujaa kwa kuwafanya wapaki basi, kumtoa Pakome ilihitajika timu iwe inaongoza kwa goli 3 hadi 4, lakini si katika mazingira yale ya kuongoza kwa goli moja na gumu.
Kuhusu Geude, hebu muangalieni vizuri, mnaweza msimlaumu. Goli la pili alichofanya ni kum block golikipa. Kuna vitu anavifanya, lakini watu wametangulia kwenye magoli na makeke. Pia naamini kwa uchezeshaji wa Aziz Ki, anaweza akamsaidia kumrudisha uwanjani.
 
Sasa unawapumzishaje manguli wa timu wakati huna uhakika wa ushindi?
Manguli wa timu walipumzishwa kwa sababu walipata majeraha kidogo.
Tukaona bora tuwapumzishe kuhofia majeraha kuwa makubwa na kupelekea kuja kuwakosa kwenye mechi kubwa, ngumu na muhimu zaidi.
Usipoziba ufa utajenga ukuta.
 
Kamwe ni filimbi ya Hersi kosa ni lake na Guede wake nadhani hii ndio sajili ya hovyo kabisa kuwahi kufanywa na Yanga Bora wangemchukua Akandwa nao yule dogo wa Mlandege
Sajili za aina hii wakati mungine unaweza kufikiri kuna mtu amekula pasenti .
 
Huu mvurugano muende nao mpaka kwenye game dhidi ya waarabu wote wawili, mkandwe kisawasawa
 
Back
Top Bottom