Gamondi jifunze kupumzisha wachezaji wako muhimu unapokuwa na mechi muhimu za kimataifa

Gamondi jifunze kupumzisha wachezaji wako muhimu unapokuwa na mechi muhimu za kimataifa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Japo unafanya kazi nzuri, lakini ulikosea sana kuweka kikosi kizima cha first eleven ulipocheza na Azam katika mchezo wa ligi kuu huku ukikabiliwa na mechi muhimu dhidi ya Mamelodi.

Najiuliza tungepata majeruhi zaidi, leo hali ingekuwaje?

Kesho mkifuzu, ni bora kuchezesha asilimia kubwa ya wachezaji wa wanaoka benchi katika mechi za ligi kwani wachawi wanaweza kuumiza tena wachezaji wetu kwa makusudi kabisa ili kutuhujumu.

Pacome na Yao kama hawajapona vizuri, ni bora kuwaacha ili wapone watusaidie katika mechi zingine za ligi kuu kuliko kuwacheza wakajitonesha halafu isisaidie na zaidi tukawakosa tena kwenye mechi za ligi kuu.

Kazi kwako.
 
Rotation hufanywa kutokana na kuangalia unacheza dhidi ya mpinzani mwenye ubora upi. Imetokea kama sehemu ya ajali mchezoni ila laiti kama Yanga ingepoteza dhidi ya Azam kwavile kocha hamjampanga Yao na Pacome basi kelele zingekuwa pia ni nyingi lawama kwa Gamondi.
Mashabiki huwa vigeu geu siku zote.
Yanga ilifungwa na Ihefu au APR kutokana na kutokuwepo kwa wachezaji kadhaa wa first eleven ndio uje ucheze na Azam?
 
Gemu dhidi ya Azam ni kubwa na ilihitaji wachezaji wenye uwezo mkubwa hayo mengineyo ya kuumia ni kawaida sana kwa wachezaji.

Mchezaji hata mazoezini anaumia, kwahiyo awaache pia wasifanye mazoezi?
 
Gamondi ni kocha aliyeaminiwa na timu.
Na tafsiri ya yeye kuwa yanga hadi leo ni kwamba anaujua.

Gamondi is cooking.
Hata kama mwaka huu hatutapata mafanikio makubwa champions league basi the better days are coming.
 
Wachezaji waliumia na bado matokeo hayakuwa upande wao

Kesho PACOME NA YAO hawatakuwa sehemu ya mchezo kwa sababu ya kijinga
Mkitaka ifanyike rotation kwenye ile mechi ya Azam basi alipaswa kufanya rotation kwa wachezaji wote wa kikosi cha kwanza je wachezaji wa Yanga waliopo benchi wana quality ya kupambana dhidi ya Azam fc?
Usiniambie kuwa eti Gamondi angefanya rotation ya wachezaji wachache tu, kwasababu kwenye swala la njury haijulikani ni nani angeumia. Huenda angefanya rotation na Bacca ndio angeumia, au Diarra, au Job, au Nzengeli. Tujifunze kufikiria mambo kwa mapana kabla ya kulaumu.
 
Yani Gamondi akae aanze kusoma ushauri wa mbumbumbu
 
Japo unafanya kazi nzuri, lakini ulikosea sana kuweka kikosi kizima cha first eleven ulipocheza na Azam katika mchezo wa ligi kuu huku ukikabiliwa na mechi muhimu dhidi ya Mamelodi.

Najiuliza tungepata majeruhi zaidi, leo hali ingekuwaje?

Kesho mkifuzu, ni bora kuchezesha asilimia kubwa ya wachezaji wa wanaoka benchi katika mechi za ligi kwani wachawi wanaweza kuumiza tena wachezaji wetu kwa makusudi kabisa ili kutuhujumu.

Pacome na Yao kama hawajapona vizuri, ni bora kuwaacha ili wapone watusaidie katika mechi zingine za ligi kuu kuliko kuwacheza wakajitonesha halafu isisaidie na zaidi tukawakosa tena kwenye mechi za ligi kuu.

Kazi kwako.
Comments reserved
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 
Back
Top Bottom