Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Naunga mkono hojaSiungi mkono hoja. Badala yake nashauri wachezaji wafundishwe umuhimu wa fair play wawapo uwanjani. Mchezaji kumuumiza mwenzako kwa makusudi, siyo uanamichezo mzuri.
Mkitaka ifanyike rotation kwenye ile mechi ya Azam basi alipaswa kufanya rotation kwa wachezaji wote wa kikosi cha kwanza je wachezaji wa Yanga waliopo benchi wana quality ya kupambana dhidi ya Azam fc?Wachezaji waliumia na bado matokeo hayakuwa upande wao
Kesho PACOME NA YAO hawatakuwa sehemu ya mchezo kwa sababu ya kijinga
Huyo ni mtu mmoja mwenye ID tofauti
Comments reservedJapo unafanya kazi nzuri, lakini ulikosea sana kuweka kikosi kizima cha first eleven ulipocheza na Azam katika mchezo wa ligi kuu huku ukikabiliwa na mechi muhimu dhidi ya Mamelodi.
Najiuliza tungepata majeruhi zaidi, leo hali ingekuwaje?
Kesho mkifuzu, ni bora kuchezesha asilimia kubwa ya wachezaji wa wanaoka benchi katika mechi za ligi kwani wachawi wanaweza kuumiza tena wachezaji wetu kwa makusudi kabisa ili kutuhujumu.
Pacome na Yao kama hawajapona vizuri, ni bora kuwaacha ili wapone watusaidie katika mechi zingine za ligi kuu kuliko kuwacheza wakajitonesha halafu isisaidie na zaidi tukawakosa tena kwenye mechi za ligi kuu.
Kazi kwako.
Bangi za ukubwani ni shida sana!!Yani Gamondi akae aanze kusoma ushauri wa mbumbumbu