Gamondi kesho ukiendelea kusikiliza Hip Hop na kutupilia mbali wabana pua,Tabora atakuchezesha amapiano

Gamondi kesho ukiendelea kusikiliza Hip Hop na kutupilia mbali wabana pua,Tabora atakuchezesha amapiano

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!

Nadhani kama ni kushauri nimeshauri sana!,sijajua kama viongozi wangu wa timu pendwa Afrika Kwa Sasa ya Yanga huwa wanapata wasaa wa kupita huku JF na kuokota chochote kitu kutoka Kwa wadau ili kumfikisha Gamondi kichwa kigumu Yale yote tunayotaka ayafanyie kazi!

Tafadhali sana Gamondi naomba utakapopanga kikosi hiyo kesho,naomba usianze na wapuuzi wako ambao unawapenda utadhani huwa wanakufanyia masaji!

KIKOSI KIFUATACHO INAPASWA KIANZE HIYO KESHO!

1.Djigui Diara
2.Yao kwasi
3.Kibabage
4.Dickson Job
5.Mwamnyeto
6.Sure boy
7.Clement Mzize
8.Mudathir
9.Jean Baleke
10.Pacome

Kikosi hiki kikianza naamini tutashinda si chini ya goli 5

Tofauti na hapo ukiwaanzisha hao mazezeta wako wa kila siku,Tabora anaondoka na pointi eidha zitakuwa 3 au 1.

Kazi ni kwako Gamondi kichwa kigumu!
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!

Nadhani kama ni kushauri nimeshauri sana!,sijajua kama viongozi wangu wa timu pendwa Afrika Kwa Sasa ya Yanga huwa wanapata wasaa wa kupita huku JF na kuokota chochote kitu kutoka Kwa wadau ili kumfikisha Gamondi kichwa kigumu Yale yote tunayotaka ayafanyie kazi!

Tafadhali sana Gamondi naomba utakapopanga kikosi hiyo kesho,naomba usianze na wapuuzi wako ambao unawapenda utadhani huwa wanakufanyia masaji!

KIKOSI KIFUATACHO INAPASWA KIANZE HIYO KESHO!

1.Djigui Diara
2.Yao kwasi
3.Kibabage
4.Dickson Job
5.Mwamnyeto
6.Sure boy
7.Clement Mzize
8.Mudathir
9.Jean Baleke
10.Pacome

Kikosi hiki kikianza naamini tutashinda si chini ya goli 5

Tofauti na hapo ukiwaanzisha hao mazezeta wako wa kila siku,Tabora anaondoka na pointi eidha zitakuwa 3 au 1.

Kazi ni kwako Gamondi kichwa kigumu!
Embu acheni upuuzi wa kupangia makocha vikosi, kama wewe una taaluma ya ukocha kwanini usiombe kazi timu yeyote ile ufundishe ili uonekane uwezo wako
 
prince mpumalelo dube

Magoli:0

Asisti:0

Mechi:9

Pesa ya usajili:700milioni.

Matarajio kutoka kwa utopolo a.k.a ramdhani kayoko fc:afunge mabao 100 kwa msimu.

Ushauri wa bure:Amtafute ahuwa amfundishe kufunga ada miguu yake tu.
 
Dube, Aziz Kii na Chama imewaghalimu Yanga bilioni 3 na ushee kuwapata.
Ingawa baadhi ya watu walionya kutokana na umri na uwezo wao lakini walipuuzwa.
Bahati mbaya mikataba yao pia inalazimisha wao kuwemo kikosi cha kwanza.
Hivyo ushauri wako hauna nafasi.
Pole sana.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!

Nadhani kama ni kushauri nimeshauri sana!,sijajua kama viongozi wangu wa timu pendwa Afrika Kwa Sasa ya Yanga huwa wanapata wasaa wa kupita huku JF na kuokota chochote kitu kutoka Kwa wadau ili kumfikisha Gamondi kichwa kigumu Yale yote tunayotaka ayafanyie kazi!

Tafadhali sana Gamondi naomba utakapopanga kikosi hiyo kesho,naomba usianze na wapuuzi wako ambao unawapenda utadhani huwa wanakufanyia masaji!

KIKOSI KIFUATACHO INAPASWA KIANZE HIYO KESHO!

1.Djigui Diara
2.Yao kwasi
3.Kibabage
4.Dickson Job
5.Mwamnyeto
6.Sure boy
7.Clement Mzize
8.Mudathir
9.Jean Baleke
10.Pacome

Kikosi hiki kikianza naamini tutashinda si chini ya goli 5

Tofauti na hapo ukiwaanzisha hao mazezeta wako wa kila siku,Tabora anaondoka na pointi eidha zitakuwa 3 au 1.

Kazi ni kwako Gamondi kichwa kigumu!
Wewe ni kibabage au umetumwa

Wacha yapigwe tu
 
Back
Top Bottom