Gamondi kesho ukiendelea kusikiliza Hip Hop na kutupilia mbali wabana pua,Tabora atakuchezesha amapiano

Gamondi kesho ukiendelea kusikiliza Hip Hop na kutupilia mbali wabana pua,Tabora atakuchezesha amapiano

Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!

Nadhani kama ni kushauri nimeshauri sana!,sijajua kama viongozi wangu wa timu pendwa Afrika Kwa Sasa ya Yanga huwa wanapata wasaa wa kupita huku JF na kuokota chochote kitu kutoka Kwa wadau ili kumfikisha Gamondi kichwa kigumu Yale yote tunayotaka ayafanyie kazi!

Tafadhali sana Gamondi naomba utakapopanga kikosi hiyo kesho,naomba usianze na wapuuzi wako ambao unawapenda utadhani huwa wanakufanyia masaji!

KIKOSI KIFUATACHO INAPASWA KIANZE HIYO KESHO!

1.Djigui Diara
2.Yao kwasi
3.Kibabage
4.Dickson Job
5.Mwamnyeto
6.Sure boy
7.Clement Mzize
8.Mudathir
9.Jean Baleke
10.Pacome

Kikosi hiki kikianza naamini tutashinda si chini ya goli 5

Tofauti na hapo ukiwaanzisha hao mazezeta wako wa kila siku,Tabora anaondoka na pointi eidha zitakuwa 3 au 1.

Kazi ni kwako Gamondi kichwa kigumu!
je yao yao kapona?
 
Dube, Aziz Kii na Chama imewaghalimu Yanga bilioni 3 na ushee kuwapata.
Ingawa baadhi ya watu walionya kutokana na umri na uwezo wao lakini walipuuzwa.
Bahati mbaya mikataba yao pia inalazimisha wao kuwemo kikosi cha kwanza.
Hivyo ushauri wako hauna nafasi.
Pole sana.
Injinia amefanya usajili mzuri sana ana jicho la kuona mbali Dube leo acheze dakika 90. Mimi ni Yanga damu Dube atakuwa mfungaji bora
 
Ubingwa si kwa Kila timu, Timu zingine zipo kwenye Ligi kama Challengers, Ubingwa upo kwaajili ya Yanga.
 
Dube, Aziz Kii na Chama imewaghalimu Yanga bilioni 3 na ushee kuwapata.
Ingawa baadhi ya watu walionya kutokana na umri na uwezo wao lakini walipuuzwa.
Bahati mbaya mikataba yao pia inalazimisha wao kuwemo kikosi cha kwanza.
Hivyo ushauri wako hauna nafasi.
Pole sana.
Ajabu kila mkikutana na hao wazee mnachezea kipigo mujarabu
 
Yanga bingwa.. hata kama kolo tukumuongeza point kumi mbele bado hawezi kushinda
 
Unajuaje kati ya hao uliowataja wako katika utimamu wa mwili na akili kwa mechi ya leo au uko kwenye benchi la ufundi?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!

Nadhani kama ni kushauri nimeshauri sana!,sijajua kama viongozi wangu wa timu pendwa Afrika Kwa Sasa ya Yanga huwa wanapata wasaa wa kupita huku JF na kuokota chochote kitu kutoka Kwa wadau ili kumfikisha Gamondi kichwa kigumu Yale yote tunayotaka ayafanyie kazi!

Tafadhali sana Gamondi naomba utakapopanga kikosi hiyo kesho,naomba usianze na wapuuzi wako ambao unawapenda utadhani huwa wanakufanyia masaji!

KIKOSI KIFUATACHO INAPASWA KIANZE HIYO KESHO!

1.Djigui Diara
2.Yao kwasi
3.Kibabage
4.Dickson Job
5.Mwamnyeto
6.Sure boy
7.Clement Mzize
8.Mudathir
9.Jean Baleke
10.Pacome

Kikosi hiki kikianza naamini tutashinda si chini ya goli 5

Tofauti na hapo ukiwaanzisha hao mazezeta wako wa kila siku,Tabora anaondoka na pointi eidha zitakuwa 3 au 1.

Kazi ni kwako Gamondi kichwa kigumu!
Mkuu hichi kikosi anaenda na formation gani

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom