Gamondi na Benchi lake la ufundi wanapaswa kumvumilia Denis Nkane Kama wanavyomvumilia Clement Mzinze

Wachezaji wazawa hawajitambui mpaka kupata namba mpaka muwapigie debe. Mpira ni mchezo unaochezwa hadharani angekuwa na uwezo huo unaousema angekuwa ashaingia kikosi cha kwanza zamani sana.
 
Wachezaji wazawa hawajitambui mpaka kupata namba mpaka muwapigie debe. Mpira ni mchezo unaochezwa hadharani angekuwa na uwezo huo unaousema angekuwa ashaingia kikosi cha kwanza zamani sana.
sasa uwezo utaonekana vi[pi wakati hapati nafasi ya kucheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…