Gamondi, Nabi hawana uwezo ila tunaojua soka la bongo tunajua nguvu za giza zinavyotumika kuwafanya waonekane bora

Gamondi, Nabi hawana uwezo ila tunaojua soka la bongo tunajua nguvu za giza zinavyotumika kuwafanya waonekane bora

makolo mnaamini sana kwenye uchawi ndio maana bila aibu mkawasha moto uwanjani,wachezaji wenu wanarogana,match ya tanga mkaenda kuvunja nazi mbele ya bank mchana kweupe,mnatia aibu nyie primitive
 

Attachments

  • VID-20230814-WA0031.mp4
    2 MB
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Mmeanza kuwa wanajimu[emoji1] na bado
 
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Huyu ni Mjuaji wa soka la Bongo.
 
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Na sasa hivi habari zinazosemwa mtaani ni kwamba YANGA SC ule uwanja wa Azam sasa hivi wameuroga na wameutengeneza na kuzika vitu vya kila aina na kila atakayeingia pale lazima achezee 5G. Yanga wameuroga ule Uwanja hata Azam FC mwenye uwanja hajafanya makafara kama waliyoyafanya Yanga.
 
Na sasa hivi habari zinazosemwa mtaani ni kwamba YANGA SC ule uwanja wa Azam sasa hivi wameuroga na wameutengeneza na kuzika vitu vya kila aina na kila atakayeingia pale lazima achezee 5G. Yanga wameuroga ule Uwanja hata Azam FC mwenye uwanja hajafanya makafara kama waliyoyafanya Yanga.
Aiseeeeee, pelekeni basi Taifa stars wakachukue world cup kwani nyie mna ulozi hodari. Mawazo ya Kijuha na kimaskini haya.
 
Sasa kama mambo ni rahisi hivyo si kila mmoja angekuwa bingwa?
 
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Bado hujasema, na utasema tu..!!!
Waliowahi kupigwa faini kisa uchawi ni Simba
 
Na sasa hivi habari zinazosemwa mtaani ni kwamba YANGA SC ule uwanja wa Azam sasa hivi wameuroga na wameutengeneza na kuzika vitu vya kila aina na kila atakayeingia pale lazima achezee 5G. Yanga wameuroga ule Uwanja hata Azam FC mwenye uwanja hajafanya makafara kama waliyoyafanya Yanga.
Una akili ya kuvukia barabara tu..!! Tena barabara yenyewe ya huko Mtimbwilimbwi..!!
 
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
IQ ni tatizo kubwa kwa watanzania kama huyu
 
Aiseeeeee, pelekeni basi Taifa stars wakachukue world cup kwani nyie mna ulozi hodari. Mawazo ya Kijuha na kimaskini haya.
Nimequote nilichokisikia kitaa,
Una akili ya kuvukia barabara tu..!! Tena barabara yenyewe ya huko Mtimbwilimbwi..!!
Akili wewe ndio hu ndio hauna nimeandika Mtaani watu wanasema. Sasa hapo tatizo langu liko wapi?
 
Back
Top Bottom