Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
GAMONDI:UNAPEWA DOZI KULINGANA NA UGONJWA WAKO.
''Mechi yetu dhidi ya Simba maandalizi yetu hayana tofauti na mechi yoyote ya ligi kuu.
Hii ni mechi kubwa sana kwa mashabiki na wapenzi wa soka, lakini kwetu kama technical stuff hii ni study ya kawaida.
Idadi ya goli tutakazofunga itategemea na shauku aliyonayo mpinzani wetu dhidi yetu.''
Gamond kasema anakupimia idadi ya goli kulingana na shauku yako.
#FutbalPlanetUpdates
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
''Mechi yetu dhidi ya Simba maandalizi yetu hayana tofauti na mechi yoyote ya ligi kuu.
Hii ni mechi kubwa sana kwa mashabiki na wapenzi wa soka, lakini kwetu kama technical stuff hii ni study ya kawaida.
Idadi ya goli tutakazofunga itategemea na shauku aliyonayo mpinzani wetu dhidi yetu.''
Gamond kasema anakupimia idadi ya goli kulingana na shauku yako.
#FutbalPlanetUpdates
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app