The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Unaropoka sana mzee,we hujistukiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaropoka sana mzee,we hujistukiii
Hapana name quote maneno ya kocha GamondiUnaropoka sana mzee,we hujistukiii
Exactly...Yanga ndiyo timu pekee ya mpira wa miguu hapa Tanzania
Wazee wa kubetiNaungana na Wanaigeria wanao ipa ushindi Yanga African
Kabisa mkuu...kolo lazima akalie motoSawa,tunasubiri matibabu yetu hiyo kesho
Hapana mkuu....nitakuwa bega Kwa begaKesho tusikimbiane lakini!! Maana ndio za kina laban og hizo! wanakimbiaga hadi nyuzi zo wenyewe!
Siasa ni kwajili ya wanasiasa Mpira ni kwajili ya wanamichezo toa hi takatakaMlisingizia Nyerere kuwanyima habari, sasa habari kila sehemu! Mliambiwa Katiba ni kitabu Tu kama vitabu vya Shigongo, ila ni kitabu hicho kimemuondoa "Philipp Mpango" WA jirani zetu hapo, hebu pumzika na ujinga huu wa mipira, tuokoe nchi yeu inayotafunwa familia zisizozidi 6 Tu!
Mke wako ni pisi?
Simba bado sanaUlitaka aongee nini mbele ya hadhara?
Huyo kitaalam anajua tu game itakua ngumu maana kikosi cha simba now si kama alichocheza nacho hapo awali..
Ngoja tuwakande ndo mtajua.
Wananchi tunagawa doziii.HAMONDI:UNAPEWA DOZI KULINGANA NA UGONJWA WAKO.
.
''Mechi yetu dhidi ya Simba maandalizi yetu hayana tofauti na mechi yoyote ya ligi kuu.
Hii ni mechi kubwa sana kwa mashabiki na wapenzi wa soka, lakini kwetu kama technical stuff hii ni study ya kawaida.
Idadi ya goli tutakazofunga itategemea na shauku aliyonayo mpinzani wetu dhidi yetu.''
Gamond kasema anakupimia idadi ya goli kulingana na shauku yako.
#FutbalPlanetUpdatesView attachment 3128556
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app