Maoni Nako ni ganiMlisingizia Nyerere kuwanyima habari, sasa habari kila sehemu! Mliambiwa Katiba ni kitabu Tu kama vitabu vya Shigongo, ila ni kitabu hicho kimemuondoa "Philipp Mpango" WA jirani zetu hapo, hebu pumzika na ujinga huu wa mipira, tuokoe nchi yeu inayotafunwa familia zisizozidi 6 Tu!
Kilakitu kipo wazi.Mlisingizia Nyerere kuwanyima habari, sasa habari kila sehemu! Mliambiwa Katiba ni kitabu Tu kama vitabu vya Shigongo, ila ni kitabu hicho kimemuondoa "Philipp Mpango" WA jirani zetu hapo, hebu pumzika na ujinga huu wa mipira, tuokoe nchi yeu inayotafunwa familia zisizozidi 6 Tu!
Hili ni jukwaa la michezo, hatuwezi kuongelea mambo ya katiba humu, tunaomba muheshimu jukwaa letu la Jamii SportsMlisingizia Nyerere kuwanyima habari, sasa habari kila sehemu! Mliambiwa Katiba ni kitabu Tu kama vitabu vya Shigongo, ila ni kitabu hicho kimemuondoa "Philipp Mpango" WA jirani zetu hapo, hebu pumzika na ujinga huu wa mipira, tuokoe nchi yeu inayotafunwa familia zisizozidi 6 Tu!
kama kawaida kibu lazma awakande 1 ateba 2 ahoua 1 na balua 1Kama yanga wangekuwa na ateba pale mbele na deborah mavambo pale kati ningewapa washinde na goli tatu halafu naweka milioni 10,mke,nyumba na gari.
Usifikiri kila mtu ana mawazo ya kitundu lisu. Usiwapangie watu cha kufanya.😎Mlisingizia Nyerere kuwanyima habari, sasa habari kila sehemu! Mliambiwa Katiba ni kitabu Tu kama vitabu vya Shigongo, ila ni kitabu hicho kimemuondoa "Philipp Mpango" WA jirani zetu hapo, hebu pumzika na ujinga huu wa mipira, tuokoe nchi yeu inayotafunwa familia zisizozidi 6 Tu!
Mbumbumbu Huwa mnajitoa akilikama kawaida kibu lazma awakande 1 ateba 2 ahoua 1 na balua 1
Mke mtoe mkuu ni binadamu. Ni sawa na Baba yako akimuweka mama yako, hutaona sawa.Kama yanga wangekuwa na ateba pale mbele na deborah mavambo pale kati ningewapa washinde na goli tatu halafu naweka milioni 10,mke,nyumba na gari.
Yaah Mkuu ni hatari[emoji23][emoji23][emoji23]daaaah
Kwamba Simba itashinda...huo ni uongoKesho mikeka itachanika sana kwa wote watakaobeti huku wakiwa na matokeo yao mfukoni there's a big suprise coming tomorrow.
Iwekee Yanga mkuu .....hutojutiaKama yanga wangekuwa na ateba pale mbele na deborah mavambo pale kati ningewapa washinde na goli tatu halafu naweka milioni 10,mke,nyumba na gari.
Hizo ni ndoto mkuukama kawaida kibu lazma awakande 1 ateba 2 ahoua 1 na balua 1