Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kaongea kimpira na ki kocha ila sie mashabiki tunajua Yanga katolewa"Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu
Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana
Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.
View attachment 2865298
Dah! Sasa kuwajaribu vijana ndiyo awachezeshe hata kwenye mechi za kuamua matokeo!!"Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu
Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana
Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.
View attachment 2865298
Ndo kwaheri yao.....tutawapeleka Simba Kwa mkopo[emoji23]Kikiosi C hebu nambie ni nani na nani hapo..kumbe mlimsajili skudu aje awe kikosi c..Fred kikosi c..zawadi..kikosi c...moloko kikosi c... Farid Musa....hao wote mbona walikua wazuri sana...au mnawadharau ndo maana na wao wakawaonyesha dharau ili mdhalilike...
πππ inabidi tuzoweane tu mtani.
πππ
Kwenye hiyo 100m toa gharama za makato ...inabaki 60m[emoji23]Sahih kabisa .
Bonanza la sh milioni 100 ukawaumize Hata wachezaji muhimu halafu kombe la yanga la ligi na fa nani alitetee , caf cl kuna kumfunga belouzidad na al ahly .
Gharama za kuweka kambi pamoja na posho nk kwa siku inaweza kufika millioni 10!
Siku 10 ni 100mil
Mwenyewe nilishangaaJuzi wakati wanacheza na apr,makolo walimuingiza onana akitokea jukwaani maana hata kwenye sub jina lake alikuwepo[emoji23],ukitaka kujua gamondi akua serious na lile bonanza wakati tushapigwa 3 ndio kwanza anafanya sub kuwaingiza watoto
Malengo tuliyojiwekea kule kwenye bonanza ni kufika robo,tena hata hao kina moloko na gift fred usingewaona ingeenda timu B yote,serikali ya znz iliomba timu zipeleke wachezaji wa senior team ndio hata ukawaona hao kina moloko na gift fred,kvz sijui mlandege uwawekee pacome wakimvunja gharama yake kubwaDaha! Sasa kuwajaribu vijana ndiyo awachezeshe hata kwenye mechi za kuamua matokeo!!
Halafu ametumia kigezo gani kuwapa mapumziko baadhi ya wachezaji ambao hawako kwenye timu zao za Taifa wakati huu ambapo timu ina muda mchache wa kujiandaa na mashindano ya Ligi, na yale ya Kimataifa?
Makolo mmefurahi maana mlikua mnajua tutawala bara na pwani ππCha muhimu mumetolewa. Hayo mengine ni kujifariji.
Gamondi anaanza kushindwa kuendesha timu iwapo anetegema wachezaji wachache tu. Inaonekana hana mbinu za ushindi kwani anategemea uwezo wa wachezaji binafsi tu. Nataka kusema kuwa Gamondi hamfikii Nabi; kwani ilikuwa ni nadra sana nabi kufungwa kipindi cha pili, na mara zote ndicho kilikuwa kipindi hatari sana baada ya kumsoma mpinzani ndani ya kipindi cha kwanza. Baada ya Yanga kuongoza ndani ya kipindi cha kwanza, Gamondi alitakiwa kubadilisha mfumo na kubalance kati ya ulinzi na mashambulizi lakini yeye akaongeza mashambulinzi na kuacha ombwe kwenye ulinzi. ."Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu
Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana
Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.
View attachment 2865298
πππKwenye hiyo 100m toa gharama za makato ...inabaki 60m[emoji23]
Lomalisa namteteaFarid Musa,lomalisa, ngushi yaani Hawa ndo wamejiharibia kwenye hii michuano