Bara na visiwa vya karafuuMmefurahi maana mlikua mnajua tutawala bara na pwani ππView attachment 2865429
Lomalisa aliumizwa akatolewa kwa tahadhariLomalisa namtetea
Bado alikuwa hajakuwa vzr baada ya majeraha
Kule visiwani 5imba tungewapiga mtungo kabisaBara na visiwa vya karafuu
Ila wazanzibar wamehuzunika sana that's y waliongeza dk 9Makolo mmefurahi maana mlikua mnajua tutawala bara na pwani [emoji23][emoji23]View attachment 2865429
Mbona unasahau kuwa nabi alikuwa na mayele pale mbele .Gamondi anaanza kushindwa kuendesha timu iwapo anetegema wachezaji wachache tu. Inaonekana hana mbinu za ushindi kwani anategemea uwezo wa wachezaji binafsi tu. Nataka kusema kuwa Gamondi hamfikii Nabi; kwani ilikuwa ni nadra sana nabi kufungwa kipindi cha pili, na mara zote ndicho kilikuwa kipindi hatari sana baada ya kumsoma mpinzania ndani ya kipindi cha kwanza. Baada ya Yanga kuongoza ndani ya kipindi cha kwanza, nabi alitakiwa kubadilisha mfumo na kubalance kati ya ulinzi na mashambulizi lakini yeye akaongeza mashambulinzi na kuacha ombwe kwenye ulinzi. .
Nabi ni mkubwa sana Kwa gamondiGamondi anaanza kushindwa kuendesha timu iwapo anetegema wachezaji wachache tu. Inaonekana hana mbinu za ushindi kwani anategemea uwezo wa wachezaji binafsi tu. Nataka kusema kuwa Gamondi hamfikii Nabi; kwani ilikuwa ni nadra sana nabi kufungwa kipindi cha pili, na mara zote ndicho kilikuwa kipindi hatari sana baada ya kumsoma mpinzania ndani ya kipindi cha kwanza. Baada ya Yanga kuongoza ndani ya kipindi cha kwanza, nabi alitakiwa kubadilisha mfumo na kubalance kati ya ulinzi na mashambulizi lakini yeye akaongeza mashambulinzi na kuacha ombwe kwenye ulinzi. .
Sema gamondi ni muoga sana kujitetea ..... inaonekana anafuatilia sana media za kibongoGamondi, hakuna kombe la majaribio ndugu yangu - hii ndiyo Bongo karibu sana. Siku nyingine wasikudanganye - Tumia mashindano haya kujenga timu yako, mashindano haya si majaribio ya watoto.
kikosi kile - bahati hakijafika fainali - Simba ingejipigia 13, kila mchezaji goli lake na mawili moja la Gamondo na jingine Ally Kamwe kuzima bakuli lake.Sema gamondi ni muoga sana kujitetea ..... inaonekana anafuatilia sana media za kibongo
Watuache na michuano yao ya kisiasa,tutawapelekea timu klabu bingwa vs cr belizouidad wafurahi maana lupaso inafanyiwa ukarabatiIla wazanzibar wamehuzunika sana that's y waliongeza dk 9
Hatutaki makapi...mmemmwagisha mimaji Moloko wa watu uwanjani siku ya derby kashakua maamuma..mpelekeni Ihefu awatimbe vizuri...Ndo kwaheri yao.....tutawapeleka Simba Kwa mkopo[emoji23]
Nazungumza kimbinu. Kuna michezo ambayo Mayele alikuwa hafungi lakini timu inafanya vizuri. Huyu Gamandi haendeshi timu kwa mbinuMbona unasahau kuwa nabi alikuwa na mayele pale mbele .
Uwezo wa mayele umewazidi wote kwa pamoja musonda , mzize , ngushi , nkane na moloko .
Dogo anapiga mawe hatariNgushi safari imewadia
Moloko jitafakari
Mzize abadilishwe namba acheze namba 10
Nanguka apandishwe kikosi cha wakubwa
Shekhan aamimiwe mapema yule ni aucho mtupu
Hata nabi alichemsha wakati mungine mbinu .Nazungumza kimbinu. Kuna michezo ambayo Mayele alikuwa hafungi lakini timu inafanya vizuri. Huyu Gamandi haendeshi timu kwa mbinu
Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana