Alichofanya ni simple tu hata wewe unaweza....hakuwa commited before so kasubilia wanyama wakali wamekuja harusini na yeye kapoint hapo hapo vipengele vya tabia njema yeye havikuwa vipaumbele vyake.Sema jamaa ana bonge la demu na ndio wife wake.. Lina shape hivi ya kumata
Mwana anakojoa pazuri kama hivyo, warembo wadada wanapenda wanaume wa vile.Alichofanya ni simple tu hata wewe unaweza....hakuwa commited before so kasubilia wanyama wakali wamekuja harusini na yeye kapoint hapo hapo vipengele vya tabia njema yeye havikuwa vipaumbele vyake.
Kwa miaka waliyooana mwamba atakua kashaichoka anachakata watoto wabichiMwana anakojoa pazuri kama hivyo, warembo wadada wanapenda wanaume wa vile.
Nae atakuwa anapigiwa, maana ana mu expose sana kwenye mitandao.. Kuna wahuni hawana dogoKwa miaka waliyooana mwamba atakua kashaichoka anachakata watoto wabichi
Hongera sana Dr RugarabaramuGara B analamba asali
Gara B analamba asali
Itakua hela ndefu si unajua Qatar pesa sio ishuatalipwa bei gani kwa huo ufunguzi? au bure?
World CUP YA DIRECTOR LAMATA ππππππππOver-rated Mc
Hata dressing pia
HahahahKatika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar