Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
- Thread starter
- #61
Bukoba tumewakilishwa world cup
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani huku hakuna umeme waungwana mliofuatilia ufunguzi wa kombe la dunia GaraB amapafom vipi huko kama mc?🤣🤣
Itakuwa ni msimbazi hiiMzee una hakika hii uliyovuta ndiyo ile alitumia Bob marley na kina 2pac?
Ishomire ufunguzi umeendaje?Katika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar
Ufunguzi umeenda vyema tunashukuru Katibu Mwenezi kwa kutupa fursaIshomire ufunguzi umeendaje?
Vipi GaraB kafanya kufuru bablai?Ufunguzi umeenda vyema tunashukuru Katibu Mwenezi kwa kutupa fursa
Suti na Pafyumu mpaka waarabu wamezimikaVipi GaraB kafanya kufuru bablai?
Kavaa rangi ya wale wazee wa upindeOver-rated Mc
Hata dressing pia