and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Huyo mwamba anakaa yombo nyumba ya kupangawahaya wengi wamesoma na pesa wanayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mwamba anakaa yombo nyumba ya kupangawahaya wengi wamesoma na pesa wanayo
Katika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar
Who cares?Hahahahaha world Cup ya Ndondo Cup
[emoji2][emoji2][emoji2]Mzee una hakika hii uliyovuta ndiyo ile alitumia Bob marley na kina 2pac?
Was bongo bana,wape picha tu[emoji23][emoji23]Alikua na Ndoa ingne, yeye ali host send off.
Vp ujenzi wa bukoba kama dubai unaendeleaje? Nangoja 2020 niione dubai ya AfrikaBukoba gan hiyo ambayo haijajengwa huko vijijini ??
Katika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar
Ametumia mbichi afu ilikuwa haijakomaaMzee una hakika hii uliyovuta ndiyo ile alitumia Bob marley na kina 2pac?
Hata akienda bure, bado itampa nafasi nyingine kubwa kubwaatalipwa bei gani kwa huo ufunguzi? au bure?
Well notedHata akienda bure, bado itampa nafasi nyingine kubwa kubwa
Bila shaka wewe mwenyewe niKatika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar
Sema jamaa ana bonge la demu na ndio wife wake.. Lina shape hivi ya kumataHuyo mwamba anakaa yombo nyumba ya kupanga
At least wewe umekunjua roho. Tofaut na walamba lips humuKuwa MC kombe la dunia ni kitu kizuri,nasi kama taifa tutafurahi kuona mtanzania mwenzetu ana fanya show kubwa kama hiyo.