Gardner adaiwa kumpandisha Jide kortini

Gardner adaiwa kumpandisha Jide kortini

Ulichonifurahisha ni kwamba we mwenyewe umeanza kujaribu kuweka vi assumption na maneno kama unless/vielelezo. That means issue ya pasu kwa pasu haiko clear ama straight kama ambavyo wengi wanaiportray na ni ukweli usiopingika kwamba si wanandoa wote huishia kugawana fifty fifty baada ya divorce. Anyways.......labda wengi tumeassume kuwa vyote ni matrimonial properties!
Sure... na hizo conditional a.k.a assumptions kama ulivyoziita nilishazisema tangu awali... kwamba kile kitakachothibitika ni jasho la Jide peke yake lazima kitawekwa pembeni na kama kuna cha Gadner peke yake nacho kitawekwa pembeni halafu wataangalia kama kuna makubaliano yoyote kati yao! Hilo ni lazima coz' haiwezekani na wala haitakuja kutokea kwamba, let's say leo hii Mzee Mengi anavuta Avemaria halafu siku unapewa cha mbavu halafu udai pasu kwa pasu... itakuwa ni wizi wa mchana kweupe!! Haya nimekufurahisha, na mimi nifurahishe basi manake nimenuna tangu jana baada ya kukimbiwa na nifah...
 
Last edited by a moderator:
Mhanga mkubwa hii ndoa ikifa ni JIDE.....awe smart....warudiane maisha yasonge......mengine ndio hivyo tena ndoa inataka uvumilivu......JIDE aache hasira za kikurya awe mama wa kiafrika yaishe.....akishupaza shingo ATAUMIA......
 
Mahakama ndio itajuwa mgawanyo wa haki, nampongeza sana Gardner wanaume tunaonewa sana tunakufa na tai shingoni huyu ameonesha njia.

Haya ni matatizo ya kuendeleza mali za mwanamke. Wee unaachana na mke halafu mwanaume ndo unafukuzwa kwenye nyumba? Haya ni matatizo ya kupenda slope.
 
Haaaaaa na siku hizi kutungua mimba imekua kama fashion..

Gardner ana mtoto alizaa na mwanamke mwingine sio Jide ko dada komando ana shida hapo
According to theory ya Matola (au probably ndivyo ilivyo), mwanamke aliyechoropoa sana ujanani kuna uwezekano akawa amemaliza ma-eggy yote yenye viini lishe na kubaki na mayai viza peke yake!! Hivi sisi wanaume, assume ulikuwa mtu wa punyeto kwelikweli... haina kuomba hiyo, wewe tu na ki-soap chako... taratiiiibu! Haiwezekani na sisi kwamba mbegu kuza zote zikawa zimesombwa na mafuriko na kubaki na machelema peke yake ili tupate sababu ya kudondosha nusu ya jumba bovu kwa Gardner?!
 
Last edited by a moderator:
Mhanga mkubwa hii ndoa ikifa ni JIDE.....awe smart....warudiane maisha yasonge......mengine ndio hivyo tena ndoa inataka uvumilivu......JIDE aache hasira za kikurya awe mama wa kiafrika yaishe.....akishupaza shingo ATAUMIA......
Anadhani ndoa zote zilizo hai zina furaha ndani yake kumbe watu wanaamua tu kuvutana vutana hivyo hivyo ili kuepusha mambo kama haya!
 
According to theory ya Matola (au probably ndivyo ilivyo), mwanamke aliyechoropoa sana ujanani kuna uwezekano akawa amemaliza ma-eggy yote yenye viini lishe na kubaki na mayai viza peke yake!! Hivi sisi wanaume, assume ulikuwa mtu wa punyeto kwelikweli... haina kuomba hiyo, wewe tu na ki-soap chako... taratiiiibu! Haiwezekani na sisi kwamba mbegu kuza zote zikawa zimesombwa na mafuriko na kubaki na machelema peke yake ili tupate sababu ya kudondosha nusu ya jumba bovu kwa Gardner?!

Madhara makubwa ya punyeto ni kuwahi kukojoa kabla bidada hajafika kileleni na kupunguwa uwezo wa kucheza game dakika 90. Otherwise punyeto haina madhara kama mbegu zako zina uwezo wa kurubisha yai la mwanamke basi unagonga show mpaka uzeeni.

Back to me mwanamke yeyote anayeziona siku zake kwangu lazima apate mimba. Seriously.
 
Last edited by a moderator:
Ukweli na usemwe jamani nani asiyejua mchango wa Gardner kwa mandeleo yao? Kusa ukweli anahaki ya mali waliyochumampk aliacha kazi ili waendeleze miradi yao!

Ivi uyo Gadner ilo si lilikua jukumu lake kama mwanaume na baba wa familia??? Ikumbukwe kwamba Jide, kipaji chake alicho pewa na Mungu wake ndo kimemfikisha apo alipo. Gadna kafanye kitu ambacho ange weza fanya mwanaume mwingine kama yy asinge kua nae.

Japo siamini kweli kama watakua wametengana au wanacheza na hisia zetu tu.
 
Mwanaume unaenda kudai mali???

Mmmh hebu ajichungulie kama ni kweli mwanaume
 
Ivi uyo Gadner ilo si lilikua jukumu lake kama mwanaume na baba wa familia??? Ikumbukwe kwamba Jide, kipaji chake alicho pewa na Mungu wake ndo kimemfikisha apo alipo. Gadna kafanye kitu ambacho ange weza fanya mwanaume mwingine kama yy asinge kua nae.

Japo siamini kweli kama watakua wametengana au wanacheza na hisia zetu tu.
HOPECOMFORT,
Kama kazi ya umeneja ingekuwa ni nyepesi kiasi hicho basi kila msanii angekuwa na mafanikio... kuna wasanii kibao tena walio very talented kuliko hawa tunaowajua lakini kwa kukosa management wanashindwa ku-shine! Umeneja kwenye muziki ni lazima uwe na network na ufahamu fitina za muziki wa ki-tz! Umeshawahi kumsikia Juma Nature siku hizi.. c kwamba kipaji chake kimekufa lakini amekosa msimamizi anayezijua fitina za muziki wa tz kama alivyo Said Fella!!
 
You're very right, Gadner ana mchango mkubwa sana katika mafanikio ya Jide sema tu watu wanashindwa kuona! Gadner ni mtu wa watu... kwa maana ya networking! Ukaribu wake na akina Kusaga ulimsaidia sana na yeye kujisogeza karibu na watoa michongo hapa mjini!! Hizi networking za Gadner zimefanya mengi sana kwa Jide kuanzia redioni, Nyumbani Lounge hadi kwenye sponsorship za hapa na pale! Atakayekataa mchango wa Gadner ni yule tu ambae hafahamu biashara za hapa mjini zinaendaje... kwa msanii unaweza kuwa na kila kitu lakini usipokuwa na watu wenye network wa kuweza kukupa back up, then you're done!

jide alikuwa maarufu kabla hata hajakutana na Gardner
 
Madhara makubwa ya punyeto ni kuwahi kukojoa kabla bidada hajafika kileleni na kupunguwa uwezo wa kucheza game dakika 90. Otherwise punyeto haina madhara kama mbegu zako zina uwezo wa kurubisha yai la mwanamke basi unagonga show mpaka uzeeni.

Back to me mwanamke yeyote anayeziona siku zake kwangu lazima apate mimba. Seriously.
Mkuu Matola ni kwamba unajipigia promo ili uuwe tembo kwa ubua kwa wadada waliokata tamaa ya kutopata mtoto, au?
 
Madhara makubwa ya punyeto ni kuwahi kukojoa kabla bidada hajafika kileleni na kupunguwa uwezo wa kucheza game dakika 90. Otherwise punyeto haina madhara kama mbegu zako zina uwezo wa kurubisha yai la mwanamke basi unagonga show mpaka uzeeni.

Back to me mwanamke yeyote anayeziona siku zake kwangu lazima apate mimba. Seriously.

Haaaaa Matola we utafanyanye maana watu wanapaa sana mwezini lakini unakuta mimba ndio hazishiki
 
Last edited by a moderator:
HOPECOMFORT,
Kama kazi ya umeneja ingekuwa ni nyepesi kiasi hicho basi kila msanii angekuwa na mafanikio... kuna wasanii kibao tena walio very talented kuliko hawa tunaowajua lakini kwa kukosa management wanashindwa ku-shine! Umeneja kwenye muziki ni lazima uwe na network na ufahamu fitina za muziki wa ki-tz! Umeshawahi kumsikia Juma Nature siku hizi.. c kwamba kipaji chake kimekufa lakini amekosa msimamizi anayezijua fitina za muziki wa tz kama alivyo Said Fella!!

Uyu Gadner alimkuta Jide na umaarufu wake lkn!!!! Ebu tusubirie tuone muda utatuletea report gani. Bt kwamimi jide ataendelea kusikika tu hata bila uwepo wa Gadner.
 
jide alikuwa maarufu kabla hata hajakutana na Gardner
Issue sio umaarufu issue ni networking... unaweza kuwa maarufu lakini ukakosa network au unaweza kuwa na network ambazo sio potential! By the way, hata kama alikuwa ni maarufu bado alihitaji meneja atakayeweza ku-facilitate mambo na ndio maana, hata ukija kwa mtu kama Diamond, pamoja na umaarufu wake bado anawahitaji watu kama akina Babu Tale ambao kufahamika kwao mwisho daraja la Manzese!
 
Weee maisha yenyewe haya mafupi unasubiri uzeeke what if huo uzee usiufikie... enjoy the present
Ah! Yaani ndoa ndo ku-enjoy wakati ni majanga? Kwanza huyo mwanamke atakayekuja kwangu baada ya wiki tu atataka kurudi kwao! Mwanamke gani atamtaka mwanaume anaepanda kitandani saa sita au saa saba lakini ikifika saa 11 alfajiri keshakurupuka zamani... ukimkuta kwenye kazi zake, usimwongeleshe... pita kimya kimya uende uende zako!!!!
 
Back
Top Bottom