Hahaaa itakua pozi la picha....
Uyo mtoto kama nimemuelewa hivi ila kaniangusha anakunywa savannah...wajanja hawagongi cider.
Duuu Noma sana kati yao kuna mmoja anaumia sema wanajua kujikaza!
kijana mmoja wa Tanga niliwahi kusoma stori yake kwenye page ya Mboni Masimba.. natamani kujua what happened to him,nikadhani waeza kua unamfaham
Nimevisit profile yake nimetaman hadi kulia.. haya maisha safari ndefu
mpaka nami nimekua interested vipi alifanyaje
Uko IG??
kijana mmoja wa Tanga niliwahi kusoma stori yake kwenye page ya Mboni Masimba.. natamani kujua what happened to him,nikadhani waeza kua unamfaham
Nimevisit profile yake nimetaman hadi kulia.. haya maisha safari ndefu
Angekunywa nini mkuu?
Hahaaa Jide akiwa na Jackson hapo.... event moja full kukimbizana, kama ile Show ya Jay na yenyewe ilikua hivyo hivyo.
Zile tetesi zimeanza kujidhihirisha sasa.
Martini au cocktail ingekuwa poa zaidi.
Duuu Noma sana kati yao kuna mmoja anaumia sema wanajua kujikaza!
hapana sipo kule napaogopa sana kuliko facebook
Bado hali yake iko vile vile anatia huruma kwelo yule kijana, kweli ujafa ujaumbika, alafu kijana ni Bonge La Handsome, yule ni the Real Definition ya Super Handsome sio kina ommy Dimpoz mpaka warembue machoView attachment 192265
kijana mmoja wa Tanga niliwahi kusoma stori yake kwenye page ya Mboni Masimba.. natamani kujua what happened to him,nikadhani waeza kua unamfaham
Nimevisit profile yake nimetaman hadi kulia.. haya maisha safari ndefu
Binamu story ya Dogo inasikitisha sana kwa Kweli....
Naona ushabiki mpaka viunoni kweli nature ya kazi yake inamuwezesha kua na mashabiki wengi hahaa!
Wengi uwezo wao unaishia kwenye bia
Uyo anayeumia zaid ni jide tuu maana hyo ndiye aliyeoza kwa mwenzio na ndio mwenzake G hana habar anaselebuka tuu na dogodogo