Yahaya Ile ilimuhusu yeye, punguzeni kubuniJide,,,,,..akose cha kuimba sasa. Manake amemuimba sana kimafumbo
RIP Gardner
Kwa Jide kumuimba alikuwa anamsaidia ila bahati mbaya hakumuelewa. Gadna alikuwa ni sikio la kufa na limekufa kweli.Jide,,,,,..akose cha kuimba sasa. Manake amemuimba sana kimafumbo
RIP Gardner