Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Kwenye magari inakuaje mkuuLoh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye magari inakuaje mkuuLoh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
Yanga SC Shikamooni.Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash Amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein 🙏🏾. #TutaonanaBaadae
Wasafi Media
Wa wMtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash Amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein 🙏🏾. #TutaonanaBaadae
Wasafi Media
Mwaka uko sawa?Amesema April 20
Samahani mkuu, kwani usipokunywa pombe kupitiliza haufi?Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Muda wote wanatumia magariKwenye magari inakuaje mkuu
Nione kama ataahirisha ile Bongo flavour honour tarehe 26 April....Jide,,,,,..akose cha kuimba sasa. Manake amemuimba sana kimafumbo
RIP Gardner
Ndio labda upate ajali kwa dereva aliekunywa kupitiliza utakufaSamahani mkuu, kwani usipokunywa pombe kupitiliza haufi?
Ongeza nyama maelezo hayatoshi hayaEndeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Jide,,,,,..akose cha kuimba sasa. Manake amemuimba sana kimafumbo
RIP Gardner
Yaan unamaanisha nini?R.I.P kampuni za pombe zimepata hasara kwa kupoteza mteja muhimu kwenye hiyo tasnia
Yaan nani aliemkojolesha?kumkojolesha sana
Atamuimba tena Rip🙏.Jide,,,,,..akose cha kuimba sasa. Manake amemuimba sana kimafumbo
RIP Gardner