MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Pumzika kwa amani G Habash
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥺🥺🥺Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash Amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein 🙏🏾. #TutaonanaBaadae
Wasafi Media
Tunywe ngapi kwa siku.Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Mkuu samahani ni kwamba hata kama wanasikia na Ulichonadika hapa JF atakiona ? Maana simu hana👴🤔Rest In Peace Gardner safari njema wasalimu uko wengine kama kuna maisha uko
Yale mashavu ilikuwa dalili mbaya sana, Janabi sasa watu titaanza kumzingatia, ni moyo,figo na ini.Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash Amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein 🙏🏾. #TutaonanaBaadae
Wasafi Media
Ajali kazini, ephen_ would yu marry me?Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Kunywa kupitiliza unamaanisha kunywa mpaka chupa ama?Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Balozi wa serengeti👊Apumzike mahala pema,pingo kubwa kwa tbl
Pombe inaua tulimpotezaga ndugu yetu sababu ya kunywa Sana pombe ikaleta shida kwenye Figo Na iniEndeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
PolePombe inaua tulimpotezaga ndugu yetu sababu ya kunywa Sana pombe ikaleta shida kwenye Figo Na ini
Na hayo ndio maisha mkuu, hata ukila mchicha utakufa tu, tusiogope kunywa pombe na nyama ili tusife kama ni kufa tuta kufa tu.Loh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
Kwamba yanga tumepita na kichwa, taratibu bossYanga SC Shikamooni.