Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kunywa Pombe kupitiliza ni hatari kwa Afya yako"Samahani mkuu, kwani usipokunywa pombe kupitiliza haufi?
Sio Yahya kuna wimbo mwingine kabisa kamuimba live.....Yahaya Ile ,ilimuhus yee punguzeni kubuni
Haijalishi unaishi lifestyle gani, mwisho wetu ni kifo tu.Loh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
Kuna siku kipindi kile ndiyo wame achana tuu kuna clip moja akiwa stejini akasema hiyo kauli kwamba eti ame mkojolesha sana JIDE.Na yeye Gadna alimchamba sana x wake, kumkojolesha sana sio kauli nzuri kwa mwenza wako hata kama mmliachana kwa mabaya
Yey
Bora unywe juice tu mkuubeer moja kwa saa moja..na mwisho ni beer mbili kwa siku....
Akina nani hao wakuu wataje majinaYale mashavu ilikuwa dalili mbaya sana, Janabi sasa watu titaanza kumzingatia, ni moyo,figo na ini.
A talent wasted in alcohol, bado wale wenzake wawili
Umeongea kwa kukata tamaa kaka mkubwa 😁Haijalishi unaishi lifestyle gani, mwisho wetu ni kifo tu.
Kuna show Moja Ilikuwa Ya clouds Miaka kidogo nyuma Imepita Baada ya Jide kutoa Ndi ndi ndi..Yaan nani aliemkojolesha?
Kuna wanawake ni vichomi Gardner alimuacha mkewe akamvamia huyu Jaydee. Wakalala chumba kimoja na Ruge huko South Africa kama sikosei kisha wakasema nothing happened licha ya kukiri kulala chumba kimoja!Nione km ataahirisha ile Bongo flavour honour tarehe 26 April....