kibogoyo02
Member
- Jun 22, 2022
- 73
- 230
We jamaa kila mtu maarufu ni classmate wako.....alifariki Yule mzee mmliki wa precision air ukaja hapa R.IP CLASSMATER.I.P classmate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa kila mtu maarufu ni classmate wako.....alifariki Yule mzee mmliki wa precision air ukaja hapa R.IP CLASSMATER.I.P classmate
Mkuu, hii unaithibitisha vipi kwamba mtu akifa anaenda kukutana na watu wengine? Na ni wapi huko?R. I .P CAPTAIN. Msalimie sana FM Kibonde.
In heaven there is no Beer, That why we drinking here. We you go from Here, Your friend we'll drink your Beer.🍺🍺🍺🍻
Hata akiendelea kumuimba n ex wake hawez kuachaJide,,,,,..akose cha kuimba sasa. Manake amemuimba sana kimafumbo
RIP Gardner
Kwaio ushaur wako nini wewe usiekunywa pombe, usiekula nyama, usieendesha magari, usiefanya stareheLoh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
Tusipokunywa tutaishi milele?Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Hawa wanywa soda wanafki mno babu yangu anakunywa gongo na anamiaka 98 sa hii. Na BP yake inachezea 120/80 mpka 130/ 83.Afadhali tupeane moyo,ngoja nifungue kabia hapa.
Mwenyewe naumwa Figo hapa. sasa usipokunywa sa hii utakunywa mbinguni
Gardner Mwenyewe labda anasikitika huko kwanini aliacha bia zake
Yahaya ujumbe ulikua ni kwa captain?Kwa Jide kumuimba alikuwa anamsaidia ila bahati mbaya hakumuelewa. Gadna ni sikio la kufa na limekufa kweli.
RIP Gadna
Ni kweli. Kumbuka amekufa TB Joshua, wamekufa Popes wa Rome, wamekufa ma Rais nk!Kwenye swala la Kifo hakuna expert. Kila nafsi itaonja umauti, "no matter how smart you behave "
Huyu mwamba kila mtu kasoma nae tu.We jamaa kila mtu maarufu ni classmate wako.....alifariki Yule mzee mmliki wa precision air ukaja hapa R.IP CLASSMATE
Kuna mambo mengine siyo ku generalise kwa sentensi hii. Nani anadhani ataishi milele kwani?Kwenye swala la Kifo hakuna expert. Kila nafsi itaonja umauti, "no matter how smart you behave "
Mkuu unaweza kufafanua kidogo? Jamaa alikuwa sikio la kufa kivipi hadi commando amuimbeKwa Jide kumuimba alikuwa anamsaidia ila bahati mbaya hakumuelewa. Gadna alikuwa ni sikio la kufa na limekufa kweli.
RIP Gadna
Huu ni woga wa kufa. Umetafuta sababu ya kujifariji kuwa unastahili kuwa hai sababu hufanyi aliyoyafanya aliyefariki.Yale mashavu ilikuwa dalili mbaya sana, Janabi sasa watu titaanza kumzingatia, ni moyo,figo na ini.
A talent wasted in alcohol, bado wale wenzake wawili
SanaPole yangu ya dhati imfikie Binti yake mrembo Malaika.
Unataka kusema Jide ali msaliti Gadner ?!Wanaume ni wachungu sana wanaposalitiwa. Wanaweza wakaongea lolote
NextdoorEdo Kumwembe
Hii nchi ni ya vitu fake and no one careLoh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
Mwembe..😂😂😂😂😂 hizi pombe kali hizk aisee siyo poa kabisaGeorge Bantu, huyu naye kwa muonekano ni mgonjwa, wanatangaza kipindi kimoja, mwingine simkumbuki, ila alikuwa na kipindi cha mambo ya uswazi, nadhani anaitwa Mussa, wote walevi wa kutupwa.
May be Wasafi wampe angalizo Edo Kumwembe, anaingia kwenye kipindi akiwa mlevi kabisa mpaka sura yake imeshachakaa