TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Uspo kunywa pombe hautakufa,?? au unataka tufe na Figo nzima ili iweje dada ephen😜
Hili swala. La kufa na Figo nzima nililitafakari siku moja, tumetoka muhimbili kuuguza mgonjwa wa Figo, tunarudi kibaha tukakuta Kuna ajali ya gari watu watatu wamefariki hapo hapo, Kiufupi jamaa wametunza Figo vizuri lakini wamekufa kwa ajali ya gari!
 
Kuna mambo mengine siyo ku generalise kwa sentensi hii. Nani anadhani ataishi milele kwani?

Tunasema tunayosema ili iwe fundisho kwa wengine. Kama unaweza ku avoid ile life style inaweza kukuongezea japo siku moja ya kuishi
Sasa inakuwaje kuna watu life style yao ni nzuri, hawatumii vileo, anasa zozote ila wamekufa vijana tu na kuna mwamba hapo juu kasema babu yake anakunywa gongo na ana 98 years?

Kifo ni fumbo mjomba, siku ile unazaliwa amini ulizaliwa na destiny yako, duniani hakuna kuishi kwa kubahatisha au ku dictate ufe lini ndugu.
 
Hili swala. La kufa na Figo nzima nililitafakari siku moja, tumetoka muhimbili kuuguza mgonjwa wa Figo, tunarudi kibaha tukakuta Kuna ajali ya gari watu watatu wamefariki hapo hapo, Kiufupi jamaa wametunza Figo vizuri lakini wamekufa kwa ajali ya gari!
Hakuna sababu ya kufa na Figo nzima wakati kuna mpka vitoto vidogo vina shida ya Figo mkuu.
 
Hili swala. La kufa na Figo nzima nililitafakari siku moja, tumetoka muhimbili kuuguza mgonjwa wa Figo, tunarudi kibaha tukakuta Kuna ajali ya gari watu watatu wamefariki hapo hapo, Kiufupi jamaa wametunza Figo vizuri lakini wamekufa kwa ajali ya gari!
Ni kujifariji tu na kujipa uspecial usiokuwepo ila unadhani kifo kinajali basi, chenyewe kinasomba tu siku ikifika. Wanakufa ndege, ngiri, fisi na pombe hawanywi wala hawapandi magari.
 
Kuna mambo mengine siyo ku generalise kwa sentensi hii. Nani anadhani ataishi milele kwani?

Tunasema tunayosema ili iwe fundisho kwa wengine. Kama unaweza ku avoid ile life style inaweza kukuongezea japo siku moja ya kuishi
Kama unaamini hakuna milele kwenye maisha, inakupasa uamini pia hakuna guarantee kwenye maisha, na hakuna recipe inayoweza kukupa millage yoyote kwenye maisha yako,
Mimi na wewe walau tumepata hata Muda wa kujifunza haya maandishi na tunajibizana hapa, kuna wengi tu wamezaliwa na hawakupata hata nafasi ya kuona jua, hao wana makosa gani?
 
Mbona Clouds Tv wanapiga nyimbo za nusu uchi tu? Hawajaambiwa?
Kifo ya drLemi ongala haijapigwa
Umechanganya, hiyo ni Clouds Fm. Uwe unaelewa swali
Dewj ,nimekujibu wewe mwenyewe kwamasikitiko ,umesema clouds mbona wanapiga tu nyimbo za akina zuchu ndo kasema hata nyimbo ya Dr lemi ongala Ile ya KIfo hakina huruma ,haijapigwa

Naona ,akili zote umeelekeza mchezoni Leo
 
Back
Top Bottom