t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Hili swala. La kufa na Figo nzima nililitafakari siku moja, tumetoka muhimbili kuuguza mgonjwa wa Figo, tunarudi kibaha tukakuta Kuna ajali ya gari watu watatu wamefariki hapo hapo, Kiufupi jamaa wametunza Figo vizuri lakini wamekufa kwa ajali ya gari!Uspo kunywa pombe hautakufa,?? au unataka tufe na Figo nzima ili iweje dada ephen😜