granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
NDI NDI NDISio Yahya kuna wimbo mwingine kabisa kamuimba live.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDI NDI NDISio Yahya kuna wimbo mwingine kabisa kamuimba live.....
Sasa nisemeje dogo, kufa ni kufa tu na wote njia moja, siku tofauti.Umeongea kwa kukata tamaa kaka mkubwa 😁
Hao wana akili basi? Ni wafupi kama koloMbona Clouds Tv wanapiga nyimbo za nusu uchi tu? Hawajaambiwa?
Kwenye swala la Kifo hakuna expert. Kila nafsi itaonja umauti, "no matter how smart you behave "Kwa Jide kumuimba alikuwa anamsaidia ila bahati mbaya hakumuelewa. Gadna ni sikio la kufa na limekufa kweli.
RIP Gadna
RipMtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Tena ni bora ukiwa unakufa ufe ata na Figo moja kuliko kuchimbia zote mbili chini, au bora umchangie mtoto mdgo mwenye maisha marefu mbeleni .Sasa nisemeje dogo, kufa ni kufa tu na wote njia moja, siku tofauti.
Kumbe ndio ilikua hivi?Kuna show Moja Ilikuwa Ya clouds Miaka kidogo nyuma Imepita Baada ya Jide kutoa Ndi ndi ndi..
Gadna akachukua Kipaza akasema nanukuu
"Mwambie huyo Mimi Ni mwanaume Hata hivyo nimeishi Naye miaka Mingi sana Na Nishamkojoza sana Kwahyo wala hanisumbui:"
But all in All Marehemu Hasemwi R.I.E.P Captain 🫡🫡
Kifo ya drLemi ongala haijapigwaMbona Clouds Tv wanapiga nyimbo za nusu uchi tu? Hawajaambiwa?
Wanaume ni wachungu sana wanaposalitiwa. Wanaweza wakaongea loloteKuna siku kipindi kile ndiyo wame achana tuu kuna clip moja akiwa stejini akasema hiyo kauli kwamba eti ame mkojolesha sana JIDE.
Dah!! Nili mdharau sana aisee, nilimuona mtu wa ajabu. Watu mme achana achaneni kistaarabu siyo kutoleana siri.
All in all YAMEPITA NA KWA SASA APUMZIKE KWA AMANI.
George Bantu, huyu naye kwa muonekano ni mgonjwa, wanatangaza kipindi kimoja, mwingine simkumbuki, ila alikuwa na kipindi cha mambo ya uswazi, nadhani anaitwa Mussa, wote walevi wa kutupwa.Akina nani hao wakuu wataje majina
Na kuna Video ipo nadhani ukiitafuta Hiyo show sikumbuki ilikuwa ni FIESTa au nini aliongea Sana!Kumbe ndio ilikua hivi?
Hongera wewe ambaye haunywi maana hautakufa!Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Watanzania wenye akili kama zako ni wapumbavu.Kufa ni kristo, kuishi ni faida..
Jide sasa Mjane rasmi
Tuendelee tu mkuu bia haina tatzo tatizo ni sisi na ulafi wetu.Sauti yake na George Bantu nilizikubali sana, japo sio msikilizaji wa radio kivile.
So, tuendelee kunywa bia au tupumzike kidogo...
Afadhali tupeane moyo,ngoja nifungue kabia hapa.Na hayo ndio maisha mkuu ,ata ukila mchicha utakufa tu , tusiogope kunywa pombe na nyama ili tusife kama ni kufa tuta kufa tu.
Unataka umuoe?Kufa ni kristo, kuishi ni faida..
Jide sasa Mjane rasmi
Umechanganya, hiyo ni Clouds Fm. Uwe unaelewa swaliKifo ya drLemi ongala haijapigwa
Daah mkuu umenikumbusha mbali sanaR. I .P CAPTAIN. Msalimie sana FM Kibonde.
In heaven there is no Beer, That why we drinking here. We you go from Here, Your friend we'll drink your Beer.🍺🍺🍺🍻