Kila mtu atakufa ila epuka mateso kabla ya kifo ushaona mtu mzima anavalishwa pempasi endeleeni kumpuuza professor janabi kuna watu wamekatwa miguu kabla ya umauti wakati walikuwa wazima wa afya.You are talking as if you are going to live forever. Be humble cos nobody will live forever!
Aisee Ume nikumbusha hiyo Nyimbo mkuu, kuzimu hakuna bia, ndo mana tuko hapa tuna kunywa bia.R. I .P CAPTAIN. Msalimie sana FM Kibonde.
In heaven there is no Beer, That why we drinking here. We you go from Here, Your friend we'll drink your Beer.🍺🍺🍺🍻
Kwann unaacha pombemkuu unataka kuishi milele?
Sasa Kuna faida Gani kufa ukiwa mzima?Kila Mtu atakufa hata ukinywa maji na mbogambogaHuyo mlevi na chapombe ulevi umeigharimu afya yake
Endeleeni kunywa na kujishindilia mi bia na miAlcohol kupitiliza kwa makusudi muue figo na maini
Mjifariji kwa kusema Kufa ni kufa
Mnamuona Dr Janabi ni Punguani hajui starehe anapowapa ushauri
🤣🤣🤣🤣Duh...Kwann unaacha pombe
Duniani tunapita aisee....hata ule mwili wa Janabi Kuna siku ya rest in peace itafika tuHivi ni huyu alihojiana na Janabi akamwambia huo mwili siyo mzuri
Hakuna msiba mwepesiPole familia, pole ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba huu mzito..
R.I.P Capt G Habash
Acha kujidanganya, walokole wangapi wanakufa vijana kabisa bwana!na sio Kila kifo ni ni na Figo,unaweza tunza sana in na Figo yako ukafa na ajali,so be humble mkuu Dunia Haina mwenyewe hiiWewe endelea kufanya rationalisation tuu, kifo ni lazima lakini biblia inaongea miaka 70 angalau. Wewe unaua viungo vyako kama moyo, figo, ini na mapafu kwa pombe na sigara unakuja ku justify eti kifo ni kifo tuu. Kufa kizembe na miaka 30- 40 unajua ni hasara gani unaacha kwa wategemezi wako. Nyie mliokata tamaa na maisha msitafute wafuasi.
Huo mfano unaotumia wa mtu 1 sio realistic nenda kafanye tafiti expose watu 10 kwenye gongo kwa miaka 10 ndio uje utoe majibu ya tafiti yako kuwa ni wangapi wamebaki bila madhara.
Kunywa bia wewe,viwanda vinawategemea walevi kama nyie kujiendeshaSasa Kuna faida Gani kufa ukiwa mzima?Kila Mtu atakufa hata ukinywa maji na mbogamboga
Mkuu uliingia kwenye mambo gani ambayo yalifanya uachane na pombe ..maana nimejaribu kuacha zaidi ya Mara 100 nakaa wiki narudi kwa kasi
Mwambie huyoAcha kujidanganya, walokole wangapi wanakufa vijana kabisa bwana!na sio Kila kifo ni ni na Figo,unaweza tunza sana in na Figo yako ukafa na ajali,so be humble mkuu Dunia Haina mwenyewe hii
DuhUkishakufa hukumu inafata Ni Moroni au Paradiso kutokana Na lifestyle yako duniani
Angalia huko barabarani unakokimbia usijegongwa na gari,na pia uwe makini vyakula unavyokula maana vyakula vingi vya Sasa ni genetic modification visikupe Kansa mkuuMimi ndiyo maana (sisemi sitakufa) nimeamua rasmi ule muda wangu wa ziada niwe nafanya mazoezi ya kukimbia na kutembea na kula chakula na familia yangu tu.
Ni program nimeianza hii wiki ya pili imani yangu Mungu atanisaidia,lakini ukweli usemwe tunaoishi mijini kuna maisha fulani ya kizembe sana tunayaishi ambayo ukitafakari kwa kina ndiyo yanayotumaliza.
Oyaa acheni mambo ya kukera. Jamaa hakuwa Kobaaz.
Kama kawaida,duniani kwenyewe tunapita Tena niishi Kwa Uoga hapana,I'll live to the fullest....Kunywa bia wewe,viwanda vinawatemea walevi kama nyie kujiendesha
Dadeki
Kuna watu wanajidanganya sana aisee....kama hivyo T.B Joshua ilibidi afe na miaka 300Mwambie huyo
Ova
Dogo Semenya Singatia usalama wa mbusii hapo malishoni.Mbele yetu nyuma yake.
kwan kuna mahali nimesema uko msiba mwepesi, au umeamua kurudi nyuma kidogo kwanza 🐒Hakuna msiba mwepesi
Misiba yote huwa ni mizito
Ova