Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Fuatilia maelekezo ya Dk JanabiTunywe ngapi kwa siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia maelekezo ya Dk JanabiTunywe ngapi kwa siku.
Mimi hunijui pyeeeeeeeI choose not to disclose love...
Nikifanya hivyo nitaharibu uaminifu kwa wengine tunaojuana hapa...
Ninakuelewa sana kaka!Jitahidi uwe unaelewa 'Context' Muktadha mahali unapobidi kuongea jambo fulani .
Usiwe Judgmental.
Matatizo Kama Alcoholic Au Ulevi ukiingia huko sio rahisi kutoka Kama unavyodhani .
Kuna swala la desire(matamanio) na imagination ( fikra ya MTU kichwani)
MTU yeyote unayemuona ameathirika na pombe kufika hatua ya kuwa Alcoholic , unabidi kujua yeye binafsi huwa anatamani kuacha pombe au hata kupunguza ( desire) Ila tayari fikra yake (imagination) inakua imeshajitengenezea hiyo hali.
That's why ni ngumu kumkuta MTU anayekunywa pombe Sana , kupenda na mtoto wake anywe pombe.
Hivyo ukielewa haya mambo utaelewa hata huyo marehemu captain alikuwa katika vita hipi.
Hizi hukumu za kuwahukumu watu nikutokuwa na ufahamu wa kutosha tu.
Sio kuishi milele mkuu ila angalau kupunguza chances zinazoweza hatarisha afya yangu angalau nivute vute mda dunia tamu sanamkuu unataka kuishi milele?
DU nimeikumbuka hii story, longtime ago, kora awards, sauz afrikaWalila chumba kimoja na Marehemu Ruge South Afrika kisha wakasema nothing happened. Hapo ndipo mahusiano ya Jide na Gadner yakaanza kuyumba
Mimi hunijui pyeeeeeee
SawaSawa mama, tutaendele kwenye uzi mwingine...
Conversation hii tusifanye kwenye uzi wa msiba huu sababu binafsi naijua familia ya bro Gardner enzi wakikaa pale Chumbageni karibu na maeneo ya Changa PS (kanisa la dhambi), hivyo msiba kwa kiasi fulani umenisikitisha...
Mkuu uliingia kwenye mambo gani ambayo yalifanya uachane na pombe ..maana nimejaribu kuacha zaidi ya Mara 100 nakaa wiki narudi kwa kasiNinakuelewa sana kaka!
Licha ya Kuwa Daktari na kuona watu wengi wanaopitia "Alcohol Withdraw Syndrome"
Mimi Mwenyewe Niliwahi Kuwa Mhanga wa Matumizi ya Pombe Kupita Kiasi "ni vigumu sana kuacha hata kama Ukitaka kufanya hivyo"
Ila Nashukru Niliingia kwenye Baadhi ya vitu ambavyo vilinifanya Niache Pombe baada ya Mwaka kupita ila nilkunywa Pombe kwa Miaka zaidi ya 10..
Kwa Hiyo Huwa Simlaumu wala Simsemi Vbaya Mtu anayekunywa Pombe kwa sababu...
I'Ve Been There, And najua Ilivyo ngumu na Jitihada za kutoka ila Huwa ni vigumu Kutoka..
Pole familia, pole ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba huu mzito..Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
NakaziaVijana wanapukutika tu........
Apumzike kwa amani.....
Japokuwa kifo ni destiny lakini tuangalie lifestyle zetu......
Kuishi ni Kristu na kufa ni faida zaidi , Wafilipi 1:21-22Kufa ni kristo, kuishi ni faida..
Jide sasa Mjane rasmi
Uko sahihi sana, na ndio sababu nikamalizia na phrase kuwa maisha ni bahati!!Vyakula na vinywaji vina athari na faida zisizofanana baina ya mtu na mtu, kila mwili una reaction tofauti mkuu...
Ina wezekana kabisa pombe ikawa ina madhara kwa mtu A na isiwe kwa mtu B kwa sababu uwezo wa kuimeng'enya na kuitoa mwilini unatofautiana...
Mathalani mchicha na mboga za majani ni chakula utashauriwa ukitumie kwa wingi, lakini kuna wengine wakila wanapata shida ambazo ni fatal kwa sababu ya uwepo baadhi ya madini...