Gardner Habash: Natumia laki 1 kwa siku

Mwanaume si vyema kumtusi mke asiyekuhusu jamani, tuweni wastaarabu. By the way, huyo huyo ndo kamwingiza town hadi mkaanza kula naye bata.
 
Ujasema ni matumizi ya nini? Inawezekana ni matumizi ya kuzungusha pesa.

Gadna analipwa zaidi ya million 3 pale Clouds na anachukua commission ya matangazo ya Jahazi msimchukulie poa.

Hawezi kulipwa million 3 acha utani na maisha ungenambia mbili ningeweza kujuelewa
 
Tujitahidi kuwa wakweli jamani. "Taasisi nyingi" zipi hizo zinazolipa fresh from school 3m?
 
Ktk diary ya Lady Jaydee alipokuwa anapanda mlima walipiria home kwa wakwe, kuna mzee mmoja wa jirani alionekana akimuonyesha sehemu likipokuwa kaburi la babake mkondo wa maji umepita na kufagia kila kitu udongo na mawe, mzee alimsisitiza kulijengea kaburi lile. Sasa siabane matumizi akajengee kaburi ili mifupa isifukuliwe na kupelekwa na maji?
 

Kwahio unataka kusema mtu alieajiriwa hatakiwi kutumia 100,000/- per day? Regardless na salary yake?! Kwa maisha ya sasa 100,000 kwa siku sio nyingi iwe kwa muajiriwa au mfanyabiashara.
 
Kwahio unataka kusema mtu alieajiriwa hatakiwi kutumia 100,000/- per day? Regardless na salary yake?! Kwa maisha ya sasa 100,000 kwa siku sio nyingi iwe kwa muajiriwa au mfanyabiashara.
Hana huo mshahara. Mbona mnabisha vitu msivyokuwa na uhakika navyo
 
Wakati akiwa na mkojozwaji sawa, ila yeye hawezi kuwa na huo ubavu.
 
Endeleeni kuchangia huu uzi wakuu hadi tufikishe comments 300
#HapaKuchangiaTu
 
Hana huo mshahara. Mbona mnabisha vitu msivyokuwa na uhakika navyo
Statement yako ilikuwa too general 'inakuwa tatizo mwajiriwa akatumia 100,000' kumbe mwajiriwa huyo unamaanisha Gadner! Haya mimi mshahara wake siujui lakini mshahara sio source ya income pekee otherwise utuambie wewe unamjua sana na unajua hana source ingine ya income na mshahara wake unaujua.
 
Source yake nyingine ilikuwa Lady Jaydee. Kwa sasa ameshaachika kwa jaydee.
 
E="RRONDO, post: 16210832, member: 20710"]Unapata nini zikifika posts 300?!![/QUOTE]
Basi tu
 

Inatusaidia nini sisi watz wengine? Hii yote ni kushindana na Jide, ila ukweli utabaki kuwa ukweli, Jide ndo kiboko yake huyu kuzi...! Akisikia "ndi ndi ndi" anabanwa na haja kubwa ghafla!!



Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Endeleeni kuchangia huu uzi wakuu hadi tufikishe comments 300
 
Nlchogundua kna raia kwny hii mitandao ya kijamii wamekua anti-gardner hta km ktu haktak kubshwa,g alkua kwny kpnd ambacho n entertainment, anaweza akasema kua kla wkend lazma aende sauz jwhether yrue au false ila aim n ku entertain...
Sasa hawa anti-garner wanadhan wakidiss sana maybe jide atawalipa au ndo wataonekana wapo ryt...
Km kukosea wate walkosea kwa njia moja au nyngne..,
all n all mshahara wa g...kpato cha jide...kukojozana kwao hamna anaejua zaid ya wao...
Wengne tutabak kua followers/fans na mikelele miiingi ya kihopeless...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…