Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Mwanaume si vyema kumtusi mke asiyekuhusu jamani, tuweni wastaarabu. By the way, huyo huyo ndo kamwingiza town hadi mkaanza kula naye bata.Hivi nyie mna tatizo gani hampendi kusikia habari nzuri ya Gadna?
Huyo sura ngumu si alisema yeye ndio anamtunza sasa anaishi maisha yake bado inawaumiza.. Gadna tuko nae batani daily ingekuwa bado yupo kwenye ndoa mngesema za yule uso mgumu ila sasa mnalialia tu.