Sawa nini sasa?[/QUOTE]Sawa TE="kabanga, post: 16188295, member: 63346"]Sawa kabisa
wewe ndio uelewi na hujui kama uelewi. kama unaelewa elezea viwango vya mshahara vya clouds ili ujulikane una data za kutosha usitafute umaharufu kupitia gadner au jide au jfWewe ndiyo ujifunze kuelewa mada. Issue ni Gardner kutumia 3000000 kwa mwezi wakati Clouds hawana scale ya mshahara huo. Lakini wewe unakuja kututajia mahahara wako uliowahi kulipwa. Uhusiano uko wapi sasa?
Weka salali slip hapa.hakuna mtangazaji klaus anaepewa iyo ela.Ujasema ni matumizi ya nini? Inawezekana ni matumizi ya kuzungusha pesa.
Gadna analipwa zaidi ya million 3 pale Clouds na anachukua commission ya matangazo ya Jahazi msimchukulie poa.
Itakua una wivu wewe sio bureGadna hana mipango mingine yoyote zaidi ya kutangaza. Asingefukuzwa na mwanamke. Sanasana kilichomleta Clouds ni baada ya kuona show za fiesta karibu zinaanza ili apate vihela vya kumalizia banda lake
We ndiyo Gadna kwahiyo?Itakua una wivu wewe sio bure
Unaweza kusema unamjua huyu jamaa kuliko anavyojijua mwenyewe
Laki ni elfu kumi ziwe kumi. Yaani 10,000×10.Kwani laki kitu gani?
Mbona kauli zako ni mkanganyiko wa kutosha na zina kinzana, kuna uzi ulianzishwa na mdau jana ukihusisha jide kumshtaki Gadner kwa udhalilishaji alioufanya, katika ule uzi umeonekana ukimtete Gadner, wakati hapa umefungua uzi kumkejeli na matumizi yake ya laki per day which is which ama ni mizuka tu ya hapa JFGadna hana mipango mingine yoyote zaidi ya kutangaza. Asingefukuzwa na mwanamke. Sanasana kilichomleta Clouds ni baada ya kuona show za fiesta karibu zinaanza ili apate vihela vya kumalizia banda lake
Mimi nafocus on issues siyo mtu. Lakini kwasababu ni mtu ndiye aliyefanya issue, ni lazima nitaje jina. Sasa huoni kama hizi ni ISSUE mbili tofauti?Mbona kauli zako ni mkanganyiko wa kutosha na zina kinzana, kuna uzi ulianzishwa na mdau jana ukihusisha jide kumshtaki Gadner kwa udhalilishaji alioufanya, katika ule uzi umeonekana ukimtete Gadner, wakati hapa umefungua uzi kumkejeli na matumizi yake ya laki per day which is which ama ni mizuka tu ya hapa JF
hakuna mtu ana wivu na pesa zake, wala hujui mm natumia ngapi kwa siku, ila kwanini anapenda kujisifu ujinga, kusema kamkojoza mtu hadharani ni jambo zuri kwa mtanganzaji kama yeye, pia kujisifu matumizi mbele za jamii ni jambo jema, sijasikia akijisifu kalisha masikini wangapi wala kachangia jamii kiasi gani..
Kwanini?Kweli wanaume wa Dar wote wanafaa kuajiriwa na Shigongo
Usisahau kazi za uMC!!Ujasema ni matumizi ya nini? Inawezekana ni matumizi ya kuzungusha pesa.
Gadna analipwa zaidi ya million 3 pale Clouds na anachukua commission ya matangazo ya Jahazi msimchukulie poa.
Kwa mkataba aliopewa hivi karibuni na clouds...gadner anapokea takribani milioni 5 na zaidi kwa mwezi ukichanganya na commission za matangazo..alisema anaebisha ajitokeze...Laki sio hela nyingi kihivyo kwa maisha ya siku hizi hasa kwa mwanaume...najua kwa mwanamke hata angepokea mil 20 hawezi tumia laki..unakuta bado anaomba bwana wake amnunulie vocha..wabahili kama nini..!Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi, ambaye hivi karibuni amemkojoza yule moto wa kike,amejitapa kuwa matumizi yake kwa siku ni shilingi 100,000 wakati akimfanyia interview msanii wa Bongo Flavour Malaika.
My opinion: Laki 1 inaweza kuwa kubwa au kuwa ndogo kutegemeana na kipato chako. Lakini kwa kipato cha mtangazaji wa radio, inaleta ukakasi kidogo. Ama ni hivyo basi utangazaji unalipa sana siku hizi. Matumizi ya 3,000,000 kwa mwezi si jambo dogo ati.
Hamna kitu kama hicho. Million 5 unaijua unaisikia?Kwa mkataba aliopewa hivi karibuni na clouds...gadner anapokea takribani milioni 5 na zaidi kwa mwezi ukichanganya na commission za matangazo..alisema anaebisha ajitokeze...Laki sio hela nyingi kihivyo kwa maisha ya siku hizi...ni umasikini tu
Cheapest way of reasoning,YOU WHAT? wewe ushauri wako wa kijinga peleka kule, hizo radio, tv kama ndiyo vinampa mtu akili aisehh basi havijakusaidia zaidi ya kukuongezia degree ya umbeya, kuna vitu mtu vinaweza kukudsaidia ama kukuharibu ila naona wewe vimebomoa hiyo akili, nawasiwasi na elimu yako na kama elimu yako ndiyo ulipata kwenye radio na tv hahaha aisehhh badi vimekupa akili ya kuwa mbeya basi sawa, kwa hiyo radio na tv ndiyo vina kupa msimamo kwenye nini yani kwa mfano, kwenye kujenga hoja?teh teh teh nilikuwa sijuwi kuna watu wa aina yako, Kuna hoja hapa sasa ama unafki na umbeya mara Oh GADNER kaka yangu usikubali sijuwi nini mara huyu GADNER hana hela mshahara wenyewe yani jide ndiyo alikuwa anamueka mjini aisehhh ina kera kuna vijana siku hizi kazi yenu ni umbeya tu, nini unakitafuta kwa huyu Gadner kwa mfano? Una creat attention eh akujuwe unamfuatilia, wadau kibao hapa wameona wewe ni mbeya kujifanya unamjua sana Gadner kwa kumsimanga, unajuwa kuchunguza maisha ya watu sana wakati yako yamekushinda umbeya wa namna hii utakuponza naona una mhemko kupata kick jf.... KazanaMimi nafocus on issues siyo mtu. Lakini kwasababu ni mtu ndiye aliyefanya issue, ni lazima nitaje jina. Sasa huoni kama hizi ni ISSUE mbili tofauti?
Issue 1: Kutaka kushtakiwa kwa kesi inayoonekana kutokuwa na ushahidi wa kutosha
Issue 2: Kujisifu kuwa una matumizi makubwa kuliko kipato chako.
Naomba nikushauri kujenga tabia ya kujisomea vitabu na kusikiliza vipindi mbalimbali vya elimu vya redio na TV ili ikusaidie kujenga hoja na kutofautisha mambo.