babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
wafate wazee wakanisa na makasisi wanamajibu mimi sina majibuSiku hizi?, siku zipi katika ukristo hakukuwa Na talaka?.
Wala hiyo picha umeona vizuri mi mwanaume asiye mtanashati sitaki kumuota hata ndotoniteh teh teh
We utakuwa shabiki wa Jide, si bure
Ha ha ha ha
Ha hahahah sasa ulitaka afanyweje???? Wakati sheria haumrusu kufunga ndoa ingine.
Sheria ya dini
Ha hahhha kwani waliapaje???kile kipengele kilishaondolewa na ndomana uikristo unatambua talaka siku hizi,na watalaka ruksa ku move on na ndoa nyingine
wanaapaga kwa shida na raha nadhan waliongeza kipengele cha kushindwa kuvumiliana talakaHa hahhha kwani waliapaje???
Hata hao watajibu kwa vifungu vya Biblia Takatifu ambavyo vinatambua uwepo na kuruhusu utoaji waTALAKA!.wafate wazee wakanisa na makasisi wanamajibu mimi sina majibu
Hapa ndo ninaposhangaa waafrica wenzangu, so unataka apake carolite au anywe maji mengi, kama bro wako wa bongo movie [emoji84]Vipaja vyeusiii kavi display kama tangazo la .......!
Namjua.Mwana unajuaje kwa kuangalia tu?
Au unamjua?
teh teh tehJide akiona hii picha anajifungia ndani analia kutwa nzima Ndiiiii Ndiiii Ndiiii Ndiiii!