Gardner: Jide kitu gani bana!, huyu ndiye mwendokasi wangu kwa sasa

Gardner: Jide kitu gani bana!, huyu ndiye mwendokasi wangu kwa sasa

We huwa unanikeraaa na uongoo wakoo..eti Hide ndoo alitoaa TALAKA mamboo mengine muulizagheeeee!!!Mahakama manzese ilitoaa TALAKA kisa Mwanaume alimkinai mwanamkee na ubabe wake akaanza kutotulia ndani mwanamkee kambembeleza ili kumaintain The best Couple in Town. Jamaa Upendo ile Wa kuibia akawa hana tena.....akiangalia Miendoo Kasi inawaka..Akawa hayupoo nayee kirohoo Bali kimwili..ndoo Ni shostitooo akatimkia Nje kutoa Stress Mara a post napitia magumu Mara ivi..ivi anayeacha anakosaga Raha..Mara Naamka Tena kwani Alilala. Yoote yalimkuta Baada ya mtingishiko Wa Le Super Mwendokasi..Upo babu???
Kwanza kabisa mimi sio babu, pili nikuulize ww Kati ya anayeacha na anayeachwa nani huwa anayumba zaidi? Sasa ukiangalia Jide wa gardner na jide wa ndi ndi ndi utofauti utauona na pia ukiangalia Gardener wa jide na Gardener wa ndi ndi ndi utofauti utauona pia , Ila ukweli unauma kuambiwa mwanaume mwenzio aliopewa talaka[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] #ze ndi ndi ndi[emoji133]
 
Back
Top Bottom