Gardner: Jide kitu gani bana!, huyu ndiye mwendokasi wangu kwa sasa

dogo mbea sijui huwa hulali wewe
 
NIDO yake ni kama keshashusha halafu anaonekana amebobea kwenye viambaza
 
Haka ka vestina katakuwa kahaya haka kapo kimaslahi zaidi kweli huyo gadner ni wa kumruhusu akushike kiuno hivyo afu mzunguke nae watu wawaone kwa jinsi alivyo mchafu
 
Aisee ningemjua baba yake ningemshauri akafanye DNA test labda kuna msambaa alimpiga bao.
niko arusha hapa wachagga wengi wamechoka wachafuu wanakunywa gongo tu na mataputapu mengine hawana hata mia
 
Rebound shit..binti ajipange G atammwaga tu,..
 
ahaa
 
Wakati mwingine atatumia nguvu nyingi aolewe ,mwisho anaondoka mwenyewe kwa machungu.
 
Analiaje wakati yeye ndo alitoa talaka?
We huwa unanikeraaa na uongoo wakoo..eti Hide ndoo alitoaa TALAKA mamboo mengine muulizagheeeee!!!Mahakama manzese ilitoaa TALAKA kisa Mwanaume alimkinai mwanamkee na ubabe wake akaanza kutotulia ndani mwanamkee kambembeleza ili kumaintain The best Couple in Town. Jamaa Upendo ile Wa kuibia akawa hana tena.....akiangalia Miendoo Kasi inawaka..Akawa hayupoo nayee kirohoo Bali kimwili..ndoo Ni shostitooo akatimkia Nje kutoa Stress Mara a post napitia magumu Mara ivi..ivi anayeacha anakosaga Raha..Mara Naamka Tena kwani Alilala. Yoote yalimkuta Baada ya mtingishiko Wa Le Super Mwendokasi..Upo babu???
 
Nasikia wanoko wanadai umri wa binti wa Gardner umemzidi wa Jide
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…