Car4Sale Gari aina ya BMW X5 inauzwa

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Mzee baba we zipulize tu,si tuko na mademu zetu wa huku JF wasio na gharama.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Na utakuwa umewamaliza kuwapuliza aseee.. ndio maana nawaogopa kama ukoma, ulipo pita mie siwezi kuweka kipulizio changu
 
Hii gari haiuzwi kwa bei hiyo. Hakuna atakaye onyesha interest. Online utapata kwa total 60 mil pamoja na kodi na ushuru
 
Hii gari haiuzwi kwa bei hiyo. Hakuna atakaye onyesha interest. Online utapata kwa total 60 mil pamoja na kodi na ushuru
Hiyo ni new model bei yake imechanganya yuko sawa
 
Hiyo ni new model bei yake imechanganya yuko sawa
Siyo latest model. Hii ni 3rd generation BMW X5 aka F15. Latest model ni G05 na inaanzia 2018 na kuendelea. Hi haiwezi kuwa LCi ambayo ni toleo la mwisho kabla ya next generation
 
Tuache utani BMW X5 ni munyama sana...cheki sura ya Jaguar hiyo designer hapa alifanya kazi kubwa sana..na hii siyo sura tu mwendo hapo hakuna cha subaru sijui kilimo kwanza wala nani mtu wanaeweza kufanya ligi saizi yake ni Landcruiser V8 au Porche Cayenne v8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…