Atokee mtu atuoneshe makaliπUshuani huku zipo mzee baba πππ
Uje tu hapa kitaa mida ya jioni ndio utaona mambo yetuAtokee mtu atuoneshe makaliπ
Nataka matajiri wa jeiefuUje tu hapa kitaa mida ya jioni ndio utaona mamno yetu
matajiri wa huku si ndio hao hao wa jf, tena hivi vyuma wanaendesha mademu hukuNataka matajiri wa jeiefu
πππ Hizi tutaendelea kuzi screenshot hivi hivi huko beforward mzee.Hizi ndio size za wana JF eeh? wapo vizuri sanaView attachment 2040464
πππ njoo ushuani hizi wanaendesha pisi zetu mzee baba tunazo zipuliza na upepoπππ Hizi tutaendelea kuzi screenshot hivi hivi huko beforward mzee.
IST unazinunua bei gani mpaka ziwe 17 kwa hiyo 85MNanunua isT 17
Zote zinakuwa uber
Kila linavyozama jua meseji za MPESA zinashindana kuingia kwenye nokia kitochi
Nb. Haya ni mawazo ya mtanzania mnyonge.
5M.... km ipo mfuko wa shati hata sasa.IST unazinunua bei gani mpaka ziwe 17 kwa hiyo 85M
ππππ Mzee baba we zipulize tu,si tuko na mademu zetu wa huku JF wasio na gharama.πππ njoo ushuani hizi wanaendesha pisi zetu mzee baba tunazo zipuliza na upepo
Bei sio mbaya. Sema sijapenda shape yake. Halina mvuto. Baya.
ππππ Na utakuwa umewamaliza kuwapuliza aseee.. ndio maana nawaogopa kama ukoma, ulipo pita mie siwezi kuweka kipulizio changuππππ Mzee baba we zipulize tu,si tuko na mademu zetu wa huku JF wasio na gharama.
[emoji28][emoji28][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Eeh Christmas ijayo lazma kieleweke tu[emoji23]
Shape yake mbaya ila bei rafiki tuπBei sio mbaya. Sema sijapenda shape yake. Halina mvuto. Baya.
Hii gari haiuzwi kwa bei hiyo. Hakuna atakaye onyesha interest. Online utapata kwa total 60 mil pamoja na kodi na ushuruBMW x5 fully loaded expat leaving
Description:
2014 model BMW X5 auto
Mileage: 26k
Engine: 2.0 diesel
Unregistered
Location: Masaki
Fully loaded with keyless entry and start
Electric tow bar
All duties taxes paid
Price: 85m
Contact: 0767579770
View attachment 2000535View attachment 2000536View attachment 2000537View attachment 2000538
View attachment 2000534
Hiyo ni new model bei yake imechanganya yuko sawaHii gari haiuzwi kwa bei hiyo. Hakuna atakaye onyesha interest. Online utapata kwa total 60 mil pamoja na kodi na ushuru
Siyo latest model. Hii ni 3rd generation BMW X5 aka F15. Latest model ni G05 na inaanzia 2018 na kuendelea. Hi haiwezi kuwa LCi ambayo ni toleo la mwisho kabla ya next generationHiyo ni new model bei yake imechanganya yuko sawa
hiyo gari showroom zote morocco ni 29-30MKama 85Mil ndio bei ya kuhama nchi je ingekua hahami bei ya kawaida ni kiasi gani?
Hivi mnaulizaga kweli bei za soko (showrooms au kuagiza) kabla kutangaza bei zenu humu?
hiyo gari showroom zote morocco ni 29-30M