Hahahahah yani kila siku we unajaza mafuta ya 150,000 kwenye gari mzee? Hio gari una hakika sio ya ofisi?engine ya BEAMS 2000 unaijua mkuu??
mi naishi Kiluvya napiga mishe gerezani na kila siku naenda na kurudi kwa mafuta ya ya 150,000 sa piga hesabu na kuna mizunguko mingine napiga pia hapa mjini
Hahahahah halafu kali yake liwe manual shifter sasa! Vijana wa kishua walitusumbua sana miaka ile 1996 to early 2KβsNiliwahi kutumia Toyota Mark 2 GX 81 yenye Engine ya 1G kavu na 6cylinders,nafahamu balaa lake,ila sio gari la kukaa nalo kwenye mafoleni,inahitaji safari ndefu ndio utalifurahia...
Mwezi mkuu sio.sikuHahahahah yani kila siku we unajaza mafuta ya 150,000 kwenye gari mzee? Hio gari una hakika sio ya ofisi?
Sawa sawa hapo sahihi, sema sahizi na ule mkeka wa njia 8 sio mchezo unamwagika tu mpaka kibambaMwezi mkuu sio.siku
Ni mwendo wa 100-120 km/hSawa sawa hapo sahihi, sema sahizi na ule mkeka wa njia 8 sio mchezo unamwagika tu mpaka kibamba
Enzi zake....Mzee baba huyu jini unamtembeza kwa ukali namna hio π
Mbona mna roho ngumu sana nyie? Yaani mimi hiyo 110 tuu ni mtihani...10km/l
NB: Huwa natembea kuanzia 130+
Ni mazoea mabaya tu. Siku hizi najitahidi nisivuke 140kph ila ni ngumu sana.Mbona mna roho ngumu sana nyie? Yaani mimi hiyo 110 tuu ni mtihani...
Milioni 4.5 kwa mwezi na kwa mwaka ni karibia milioni 50 daaah...Hahahahah yani kila siku we unajaza mafuta ya 150,000 kwenye gari mzee? Hio gari una hakika sio ya ofisi?
150,000 * 20 = 3,000,000 kawaida .. kwa mwezi huwa nafikisha 1.5mill na wakati mwingine huzidiHahahahah yani kila siku we unajaza mafuta ya 150,000 kwenye gari mzee? Hio gari una hakika sio ya ofisi?
Siku hizi natembea na mtu anapenda mbio, ananijazaga upepo tunachezea 180-240. Majuzi almanusura viumane uso kwa uso na scania.. Mungu maana nilikuwa kinati kama 200 hivi .. ghafla kuna diversion mbele ninapotakiwa kutokea kuna scani na ni vumbi ya kufa mtu, kushoto wame block barabara .. nilifanya maamuzi magumu, nikasema acha niitupe gari kushoto huko uku nanyunyiza mdogo mdogo ngoma waaa imelala ikaja kukaa kama hakuna kilichotokea alikaa kimyaaa na mie nikauchuma kama dk nasikilizia tumetoka salamaNi mazoea mabaya tu. Siku hizi najitahidi nisivuke 140kph ila ni ngumu sana.
Utakuja kufa mzeeπ acha hizo mbanga! Dalili mbaya hizo πSiku hizi natembea na mtu anapenda mbio, ananijazaga upepo tunachezea 180-240. Majuzi almanusura viumane uso kwa uso na scania.. Mungu maana nilikuwa kinati kama 200 hivi .. ghafla kuna diversion mbele ninapotakiwa kutokea kuna scani na ni vumbi ya kufa mtu, kushoto wame block barabara .. nilifanya maamuzi magumu, nikasema acha niitupe gari kushoto huko uku nanyunyiza mdogo mdogo ngoma waaa imelala ikaja kukaa kama hakuna kilichotokea alikaa kimyaaa na mie nikauchuma kama dk nasikilizia tumetoka salama
kitoto cheupe unywele hadi huku kwanini usiwe fundiii ππππ.. ile ilikuwa pale pale mzee tunaenda mbinguni kwa baba YesuUtakuja kufa mzeeπ acha hizo mbanga! Dalili mbaya hizo π
nilitulia kimywa nikasema naweza kuwa nimefika mbinguni tayari ππUtakuja kufa mzeeπ acha hizo mbanga! Dalili mbaya hizo π
Wale Wajerumani weusi utasikia wakisema 'hapa ingekuwa Toyota tushakufa'Siku hizi natembea na mtu anapenda mbio, ananijazaga upepo tunachezea 180-240. Majuzi almanusura viumane uso kwa uso na scania.. Mungu maana nilikuwa kinati kama 200 hivi .. ghafla kuna diversion mbele ninapotakiwa kutokea kuna scani na ni vumbi ya kufa mtu, kushoto wame block barabara .. nilifanya maamuzi magumu, nikasema acha niitupe gari kushoto huko uku nanyunyiza mdogo mdogo ngoma waaa imelala ikaja kukaa kama hakuna kilichotokea alikaa kimyaaa na mie nikauchuma kama dk nasikilizia tumetoka salama
Sijui mie mwenyewe kwanza nimechomokaje pale, nilipo ipeleka ni pabaya zaidi na lengo lilikuwa kuitupa kule isikutane uso kwa uso na ile scania, nachokumbuka gari haikutulia barabarani na nikashangaa imesimama πππ.. wajerumani weusi wanao wao ni bora kuliko wajapanWale Wajerumani weusi utasikia wakisema 'hapa ingekuwa Toyota tushakufa'
Kwani hio ilikuwa mjapan au mjerumani?Sijui mie mwenyewe kwanza nimechomokaje pale, nilipo ipeleka ni pabaya zaidi na lengo lilikuwa kuitupa kule isikutane uso kwa uso na ile scania, nachokumbuka gari haikutulia barabarani na nikashangaa imesimama πππ.. wajerumani weusi wanao wao ni bora kuliko wajapan
huyu alikuwa ni Adolf hitlerKwani hio ilikuwa mjapan au mjerumani?
You see...angekuwa Yamamoto sasa hizi tusingekuwa na hii discussion! Ijumaa na mimi nikatoboa sump! Nimeingia kwenye handaki nikasikia chuma kidunda chini. Jana asubuhi naenda job narudi reverse nitoke naona kuna kisima cha crude oil chini nikajua lile shimo limejibu. Ila nimerekebisha kesho inarudi barabarani.huyu alikuwa ni Adolf hitler