Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi neshangaa hata ingekuwa tako la nyani ddy ingekuwa chini ya hapoharrier old model kwa 24m dah..wabongo tunapigwa asana
Hahaha Harrier old Model milioni 24? Whataheeeeeeliii! Hiyo si bei ya Klugger kabisaGari inauzwaa mwanza Million 24,ina kila document muhimu inayohitajika,,kwa mawasiliano zaidi piga simu namba +255 769 088 152
View attachment 2617010
View attachment 2617011
Kwann umeweka 24m...wakati unajua guy gari ni 14mNimesema Kuna mazungumzo mkuu kama huna hela ya kununua kaa kmy
Sana, jamaa hajatuambia uspecho mpaka kufikia hatu ya kuuza kitu kilichotumika kwa bei mkasi kiasi hichoharrier old model kwa 24m dah..wabongo tunapigwa asana
Labda kwa kuwa Ina Viurembo kwa juuSana, jamaa hajatuambia uspecho mpaka kufikia hatu ya kuuza kitu kilichotumika kwa bei mkasi kiasi hicho
Usisahau gari inauzwa Mwanza! Huko kuna Wasukuma ambao ni matajiri wa kuuza samaki, dagaa, madini, nk. Watanunua tu.DDY maana yake uliingiza Tanzania mwaka 2018 au 2019,hayo mahesabu ya 24ml unayatolea wapi?kiazi kweli wewe
Haka Klugger Milion 24 Bado unakua Umepigwa tuHahaha Harrier old Model milioni 24? Whataheeeeeeliii! Hiyo si bei ya Klugger kabisa
Oooh kumbe ni Bei ya Wasukuma hii?Sasa kwani ameambiwa wasukuma wa JF wanauza Samaki?Usisahau gari inauzwa Mwanza! Huko kuna Wasukuma ambao ni matajiri wa kuuza samaki, dagaa, madini, nk. Watanunua tu.