Gari aliyopewa miss tanzania hata bure sipokei

Huyu mtoa mada inawezekana alipigwa chini mapemaaa kwenye hatua za awali za mchujo wa ulimbwende kitaani kwao. Sio kwa povu hilo.

Anyway, kama huyo kwenye avatar ni wewe basi hustahili hata baiskeli ya GUTA.
na hilo povu lako la sabuni ya mkopo khaaa langu la sabuni ya cash
 
There are something behind Waandaaji na mnaoratibu zawadi za mamiss ninyi ni wanyonyaji wakubwa sana
Very shame Hiyo gari ingekua mimi ningekataa

Mkuu; Aksante kwa kutujulisha kuwa hata hii lugha ya malkia haupo mbali. Nadhani ikitokea akija kwetu Donald Trump hata weye utawekwa mstari wa mbele kukutana naye.
Umewashinda wenye Phd mkuu.
Angalia ulivyo tiririka bila hofu mkuu. Umemzidi mkulu kwa kweli. Ohh! Very shame!!! Hata ningepewa nafasi ya kuwatuza hao ma miss, usingelipata hata zile tairi za hilo gari wewe. Kwa sauti yako mwenyewe; Very shame. HUIPATIIIIII
 
hiyo ni kwel
 
hahaaha
 
Unaishi Germany?
 
Huyu mtoa mada inawezekana alipigwa chini mapemaaa kwenye hatua za awali za mchujo wa ulimbwende kitaani kwao. Sio kwa povu hilo.

Anyway, kama huyo kwenye avatar ni wewe basi hustahili hata baiskeli ya GUTA.
Mkuu uyu jamaa si mchicha pori?
 
Wamechukua muda mrefu kumsoma ndio maana wamempa gari kama ile, yaani wamefanana na gari yake ile gari wasingeweza kumpa Wema, Nancy..ndio maana hata Lundenga hakutokea na ninadhani walimchugua kwa kujua kuwa hawana zawadi ya maana ya kumpa mshindi.
 
Hii hapa....mkweche si mkweche
guta si guta
mkokoteni si mkokoteni

Gari lina mirangi rangi kama gari la "Coral Paints"
au lile la kusambazia chakula kariakoo .

Hta gari linalokuwa lina milkiwa na "mwana mteja" linakuwa na chata kiasi
sio nyingi kama huu mkorogo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…