Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
- Thread starter
- #41
kvp yAnMkuu..na wewe unataka kuwa MISS?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kvp yAnMkuu..na wewe unataka kuwa MISS?
Wewe vipi!nakojooooaaaaaaaaaa
kikushangazacho?Wewe vipi!
Mambo gani tena haya!?
Ndiye mkuu,'waniache'Huyu siyo yule delicious kweli?
Kwa kweli kafanana na Gari yake.Wamechukua muda mrefu kumsoma ndio maana wamempa gari kama ile, yaani wamefanana na gari yake ile gari wasingeweza kumpa Wema, Nancy..ndio maana hata Lundenga hakutokea na ninadhani walimchugua kwa kujua kuwa hawana zawadi ya maana ya kumpa mshindi.
Wewe ni ray younger?i was so busy nilikua nje ya nchi halafu mambo ya tz hata sikuhangaika nayo nimefika insta nimekuta tag 340 ya kwanza ni ya hili gari hahaaaa
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Ndiye mkuu,'waniache'
ila sio sawa kumfanyia bint vbaya hvyokwa muonekano wa huyo Miss Tanzania anastahili kabisa hiyo gari aliyopewa ndio maana mwenyewe ajalalamika popote.
nimeliamsha dudeSasa gari ni la miss Tz wewe unaingilia ya nini mkuu
sohuyu jamaa amebadili Id au hii ni nyingine tena!!!
Ndio nini hionimeliamsha dude
d u d eNdio nini hio