New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,333
- 2,484
kodi ya motaveico haulipiiUnaposema haina road licence una maana gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kodi ya motaveico haulipiiUnaposema haina road licence una maana gani mkuu?
hahhaa..dah we jamaa!!binadamu hatutoshekiwale wenye vi porte watadai vinakula wese tena
Wabongo hawana dogo, ngoja vikianza kuzagaa, lazma uje uzi humu..."porte yangu inakula wese mno 15km per litre"hahhaa..dah we jamaa!!binadamu hatutosheki
hii ni mishe za mjini na kupeleka watoto shule, mambo ya kusafiri umbali mrefu chukua basi lenye uwezo wa umbali huo, ila gari hii iringa na tanga inafika kumbuka ni modified ya pikipiki ya miguu mitatu , hata hivyo na engine iko nyumahiyo sio ya kwenda nayo mkoa, kwa mishe za mjini hapa kanafaa sana, mafuta ya fifty yanasongesha
kwa sasa tunaagiza tu kwa order maalumu, mpaka sasa yapo matatu nchini, lipo nyekundu pale mwengemkuu mgt software je lishafika bongo hili? yani nikienda town dukani nalikuta?
Tanga utasafiri week nzima ndio ufike, Iringa ni mwezi mmoja ndio unafika kwa speed yake.hahahahhii ni mishe za mjini na kupeleka watoto shule, mambo ya kusafiri umbali mrefu chukua basi lenye uwezo wa umbali huo, ila gari hii iringa na tanga inafika kumbuka ni modified ya pikipiki ya miguu mitatu , hata hivyo na engine iko nyuma
Haha mwanishi atakuwa ni Mmasai tu haha!!gali = gari. linaimi = linahimili. upendi =hupendi
Twahahahaaaa safi sana kifimbo chezagali = gari. linaimi = linahimili. upendi =hupendi