elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
Njoo pmMimi si Mteja ila hongera kwa tangazo simple and clear sio wale wa njoo pm
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Njoo pm
Fanya 6.4M mkuuKuna 3 hapa, vipi ??
Ongeza mkuu cheguevera4mln chukua
Linauzwa bei ya 6.6M tegeta namanga, mtaa wa chanika, Suzuki K, njoo tuongee usiogope View attachment 445428View attachment 445430View attachment 445431View attachment 445432
Tangazo halijakamilika bado,Mimi si Mteja ila hongera kwa tangazo simple and clear sio wale wa njoo pm
Ongeza mkuu cheguevera
Mkuu cheguevara namba siyo tatizo tatizo hiyo bei ukikubaliana tuongeeWeka namba ya simu
Mkuu hebu nichekie ktk kadi ya gari hiyo K ina maana gani?Linauzwa bei ya 6.6M tegeta namanga, mtaa wa chanika, Suzuki K, njoo tuongee usiogope View attachment 445428View attachment 445430View attachment 445431View attachment 445432
Swift model mkuu kwani ulikuwa na shida yeyoteMkuu hebu nichekie ktk kadi ya gari hiyo K ina maana gani?
Mkuu kila kitu kipo in advance hadi turbo kwa wa safari ndefu utakachofanya ni kupewa funguo, kadi mafuta ya advance yapo, utajua wewe uelekeo wakoTangazo halijakamilika bado,
Mbona hakuna Odometer,
Engine Size,
Insurance & TRA status,
Radio & Kipupwe (AC) kama vipo,
etc
Unaua Ontario4.3 mil