elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
- Thread starter
- #21
Fanya 6.4M tufanye biasharaUnaua Ontario
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya 6.4M tufanye biasharaUnaua Ontario
Four mbali sanaUnaua Ontario
Mkuu mbona unakomaa na namba?Weka namba ya simu
Kei cars.... Jaribu ku google utapata kuelewa.Mkuu hebu nichekie ktk kadi ya gari hiyo K ina maana gani?
sawa mkuu basi nitafutie mtejaKei cars.... Jaribu ku google utapata kuelewa.
Kei cars ni jamii ya gari ndogo zinazotengenezwa nchini Japan ikiwa na viwango vya injini, upana wa bodi na urefu wa gari vilivyoainishwa na Serikali ya Japan.. Mf Kei csrs zote zinatakiwa kuwa na engine isiyozidi CC 650. Hii hujumuisha Magari lama Suzuki Kei, Carry, Jimny, Pajero Mini nk.
Miaka ya nyuma serikali ya Japan ilifanya utafiti na kugundua kuwa kulikuwa na Wajapan wengi waliokuwa wanatumia pikipiki ila hawakuwa na uwezo wa kumuliki magari
Kwa hiyo wakaona bora watengeneze magari yenye bei na gharama zingine sawa na piki piki ili Wajapan wengi waachane na boda boda na kutumia magsri ya Kei na kupunguza ajali.. So Kei car ya kwanza ilikuwa na 350cc baadaye zikawa reviewed na kuwa 540cc na sasa ndio hizi za 650cc.
Bei mkuu ndo shida, usawa huu mgumuKimya
Una sh ngapi mkuu kwaniBei mkuu ndo shida, usawa huu mgumu
Mkuu vp na kuhusu upatikanaji wa spea zake kwa hapa nyumbani Tz,Kei cars.... Jaribu ku google utapata kuelewa.
Kei cars ni jamii ya gari ndogo zinazotengenezwa nchini Japan ikiwa na viwango vya injini, upana wa bodi na urefu wa gari vilivyoainishwa na Serikali ya Japan.. Mf Kei csrs zote zinatakiwa kuwa na engine isiyozidi CC 650. Hii hujumuisha Magari lama Suzuki Kei, Carry, Jimny, Pajero Mini nk.
Miaka ya nyuma serikali ya Japan ilifanya utafiti na kugundua kuwa kulikuwa na Wajapan wengi waliokuwa wanatumia pikipiki ila hawakuwa na uwezo wa kumuliki magari
Kwa hiyo wakaona bora watengeneze magari yenye bei na gharama zingine sawa na piki piki ili Wajapan wengi waachane na boda boda na kutumia magsri ya Kei na kupunguza ajali.. So Kei car ya kwanza ilikuwa na 350cc baadaye zikawa reviewed na kuwa 540cc na sasa ndio hizi za 650cc.
Mhh panda juu kidogo ila ni pm namba yakoKula 5
Spea zake zinapatikana pasipo shaka yeyote hapa nchiniMkuu vp na kuhusu upatikanaji wa spea zake kwa hapa nyumbani Tz,
4MUna sh ngapi mkuu kwani
Ok poa mkuuSpea zake zinapatikana pasipo shaka yeyote hapa nchini
Ongeza kaka
Poa poaOk poa mkuu
Vp hizi spea ziko ghali au cheap mkuuPoa poa
Mkuu hebu nichekie ktk kadi ya gari hiyo K ina maana gani?